Nasita kuendelea kuandikia Gazeti


mzee.. ni mwanadamu mimi. Thanks
 
Well,seems like you'll just have to make one gentleman.
There's no more room for 'devilicious' doctrines.

I hate choices, choices, choices.. but if there no choice to make how can a person make one?
 
Sio hivyo Mkuu, ila ni kwamba hilo gaffe la Zitto (Mh.) lilizua mjadala ulioendelea hapa JF ndio maana nikashangaa hukuusikia.

totally missed it...!! Kwa sababu naweza kuiona hiyo gaffe 100 miles away..
 
Kwa hiyo unakubali hapo kateleza kidogo kujieleza?

that is what I meant "naweza kuiona maili 100". Lakini I'm a realist, ndio maana wazee walikuwa na msemo "ulimi hauna mfupa" maana yake kuna wakti mtu anaweza kusema kitu ambacho hakumaanisha.

Kama kuna mtu alimuelewa kuwa alimaanisha anayo bei lakini haijulikani basi siwezi kumlaumu; lakini kwangu mimi ningesema "excuse me" umaana "hauna bei siyo" ambavyo ni vitu viwili tofauti. Sasa angesema "no nina maana bei yangu ipo lakini haijulikani" then siyo gaffe tena bali ndicho alichomaanisha.

So, I'm not very harsh on people kupotea kwa maneno, kwani natambua ni wanadamu na wao.
 


Ina maana ulikuwa hulipwi au ulilipwa kiduchu?
 

Kwa hiyo umemodify kuwa ulikuwa hulipwi au ulikuwa unalipwa kiduchu? Ni lazima iwe kati ya hayo au hiyo ya kujishughulisha na mengine manono zaidi ili watoto wasilale njaa inakujaje?
 
Mapambano haya yalianza na sasa naona majemedari mnaanza kuweka silaha chini wakati adui anaelekea kunyanyua mikono sasa kuna haja ya kutafakari upya .

Baada ya Lowassa kuanguka ,wengi makala zenu zilipungua na hata Mkumbo akaacha kuandika ,nawashauri kuwa huu ni wakati wa kuweka silaha mbele kwani adui yuu mbioni kuanguka.

Mapambano haya ni yetu sote ,usiache kuandika ila punguza kuandika .
 
Kwa hiyo umemodify kuwa ulikuwa hulipwi au ulikuwa unalipwa kiduchu? Ni lazima iwe kati ya hayo au hiyo ya kujishughulisha na mengine manono zaidi ili watoto wasilale njaa inakujaje?

Kwa maneno mengine haihusiani na kulipwa au kutolipwa kwenye hilo gazeti, inawezekana bill zimezidi upande huu!
 
Kwa maneno mengine haihusiani na kulipwa au kutolipwa kwenye hilo gazeti, inawezekana bill zimezidi upande huu!

Au maana nyingine ni kuwa bills zimezidi upande huu and you were getting nothing or too little from your writtings that could not help pay for your increasing bills. Unless unaondoa suala la increasing financial responsibilities, then it has to do with payments, i.e., either you were paid too little or nothing. Which is your case? Mkuu MMJJ, hapa unatunazungusha.
 

Unajizungusha mwenyewe kwa kweli. Nimeshaweka maelezo yangu vizuri sasa sijui kama naweza kukusaidia zaidi ya hapo. Ila unaweza kupick lolote kati ya hayo matatu.
 
Unajizungusha mwenyewe kwa kweli. Nimeshaweka maelezo yangu vizuri sasa sijui kama naweza kukusaidia zaidi ya hapo. Ila unaweza kupick lolote kati ya hayo matatu.

MMJJ,
Naona ni kweli labda najizungusha mwenyewe. Ningeomba msaada kwa wanaJF kama kuna aliyeelewa anieleweshe na mimi. Kwangu mimi bado naona alama za $$$$ kama MMJJ alivyojieleza.
 
MMJJ,
Naona ni kweli labda najizungusha mwenyewe. Ningeomba msaada kwa wanaJF kama kuna aliyeelewa anieleweshe na mimi. Kwangu mimi bado naona alama za $$$$ kama MMJJ alivyojieleza.

uko sawa tatizo unaassume kitu ambacho si sahihi. And that all I can say. Sasa sijui nikuambie vipi ili uelewe?
 
Kubwajinga,

Sijui mwenzangu MKJJ kama alikuwa analipwa, lakini najua waandishi wa makala wengi kwa Tanzania, nikwemo mimi, huwa tunajitolea tu. Ni njia ya kutoa mchango wa mawazo katika jamii.
 
MKJJ: Nafikiri the proper heading should have been: Nasitisha..., well, if that's what you meant!
 
Kubwajinga,

Sijui mwenzangu MKJJ kama alikuwa analipwa, lakini najua waandishi wa makala wengi kwa Tanzania, nikwemo mimi, huwa tunajitolea tu. Ni njia ya kutoa mchango wa mawazo katika jamii.

This is very simple explanation and very clear. Sijui kwa nini MMJJ alikuwa anatumia quantam theory kuelezea simple arithmetic. Thanks anyway Kitila.
 
This is very simple explanation and very clear. Sijui kwa nini MMJJ alikuwa anatumia quantam theory kuelezea simple arithmetic. Thanks anyway Kitila.

sasa sijui kwanini unafikiri amenizungumzia na mimi katika "wengi" na mimi siwezi kumzungumzia katika maamuzi yangu. Lakini inaonesha tu kuwa there are more than two choices katika suala hili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…