Ndugu zanguni tangu kikwete alipoanza kung'ang'ania kuingia ikulu na kuomba sana awe anaitwa JK (Jakaya Mrisho Kikwete) badala ya JM yaani alidhamilia kuwasahaulisha watu ile imani ya JK (Julius Kambarage Nyerere) halisi kuwa nafasi ya urais haimfai....
Mimi binafsi huwa nashindwa kumuita JK kwani huyu JM hafikii wala hana dalili za kuweza kufikia japo robo .
kumlinganisha julias kambarage nyerere na jakaya mrisho kikwete ni kufanya makosa kwa sababu kila mmoja ametawala nchi kwa wakati tofauti na challenges alizokuwa anakabiliana nazo nyerere kwa wakati huo ni tofauti na za sasa ambazo kikwete anakabiliana nazo.Hivyo,nyerere alikuwa kiongozi mzuri kwa wakati huo(enzi hizo) na kikwete ni kiongozi mzuri kwa sasa kutokana na hali halisi ya mabadiliko ya dunia
Ndugu zanguni tangu kikwete alipoanza kung'ang'ania kuingia ikulu na kuomba sana awe anaitwa JK (Jakaya Mrisho Kikwete) badala ya JM yaani alidhamilia kuwasahaulisha watu ile imani ya JK (Julius Kambarage Nyerere) halisi kuwa nafasi ya urais haimfai....
Mimi binafsi huwa nashindwa kumuita JK kwani huyu JM hafikii wala hana dalili za kuweza kufikia japo robo .
kumlinganisha julias kambarage nyerere na jakaya mrisho kikwete ni kufanya makosa kwa sababu kila mmoja ametawala nchi kwa wakati tofauti na challenges alizokuwa anakabiliana nazo nyerere kwa wakati huo ni tofauti na za sasa ambazo kikwete anakabiliana nazo.Hivyo,nyerere alikuwa kiongozi mzuri kwa wakati huo(enzi hizo) na kikwete ni kiongozi mzuri kwa sasa kutokana na hali halisi ya mabadiliko ya dunia
kweli mkuu ni kmiongozi mzuri kwa sura eeeeeee..........TUKO PAMOJA.....tunachoangalia ni je maamuzi anayoyafanya sasa JM angekuwa JK angefanyeje?...kwanza jk asingeweza kuwasamehe wezi wa mali....
piliu asingeweza kuwa na orodha ya wala nchi alafu ikawa siri yake....
....
.
.
.
.
.
.
.
.
Nchi yeyote duniani huendeshwa na taasisi zake mbalimbali na siyo Rais pekeyake,kutokana na ukweli huo tunapaswa kutoa lawama zetu kwanza kwa taasisi husika na siyo kwa Rais kikwete mojakwamoja. Rais ana mambo mengi ya kufanya kama kiongozi,tunapaswa kumsaidia pale ambapo tunaona kuna mapungufu na siyo kuelekeza shutuma tu dhidi yake.kweli mkuu ni kmiongozi mzuri kwa sura eeeeeee..........TUKO PAMOJA.....tunachoangalia ni je maamuzi anayoyafanya sasa JM angekuwa JK angefanyeje?...kwanza jk asingeweza kuwasamehe wezi wa mali....
piliu asingeweza kuwa na orodha ya wala nchi alafu ikawa siri yake....
....
.
.
.
.
.
.
.
.
sidhani kama kifupi cha jina lake linaweza kukufanya wewe kumuona hafai kwa kudai kuwa anajifananisha na kambarage nadhani cha kuzingatia ni mambo aliyoyafanya na si kifuppi cha jina lake kama unavyo fikiria wewe< TAFAKARI CHUKUA HATUA.