Naskia Raha Miieeeee....🥰🥰🥰 Utaaamu ☺️

Kasie

Platinum Member
Joined
Dec 29, 2013
Posts
22,379
Reaction score
41,294
Wakulungwa....

Japo joto kali, jua linawaka ila tabasamu halikauki usoni.....


Najua nimeshapokea mafao ya uzeeni ila hii furaha ya leo ni nje ya mafao....

Mahaba niache nipange mipango maisha mapya ya kustaafu mweeeh mweeeh mweeeeh......




Nasinzia nikikuwaza ooohhh....


Kumbatoooo, kumbatoo ndo kulogwa kwangu hapo ....😍😍

Kasinde Matata.
 
Sawa
 
Utamu unuzi haya mama cheka mpk gego
 
Nimekuja mbio nikajua naitiwa K Vant.... Dah!

Ngoja niendelee kula ugali na mbuzi katoliki afu niwahi kaunta kwa Emilia...

Malabuku zangu Mia saba hamsini na mbili na robo tatu.
 
Aahahahahaaaaaa

Ataishia kujivuruga mwenyewe, Mahaba hayataki papara .....

Ni mwendo wa paaah pozi paah pozi paaah pozi....[emoji38][emoji38] kama unanyapia vile [emoji12].
Nina wasi wasi kabisa
 
Nimekuja mbio nikajua naitiwa K Vant.... Dah!

Ngoja niendelee kula ugali na mbuzi katoliki afu niwahi kaunta kwa Emilia...

Malabuku zangu Mia saba hamsini na mbili na robo tatu.

Hivi ganda lako TAE liko upande upi maana Israel inakuhusu...😆😆😆😆

Ngoja Sky ashughulikie visa chaap.
 
Hivi ganda lako TAE liko upande upi maana Israel inakuhusu...😆😆😆😆

Ngoja Sky ashughulikie visa chaap.
Wanatimua mavumbi sisi twalaaaaaa

Wanataka mapinduziiiii

Na mapinduzi hawayaweziiii

Usiende mbali namiiii........
 
Wanatimua mavumbi sisi twalaaaaaa

Wanataka mapinduziiiii

Na mapinduzi hawayaweziiii

Usiende mbali namiiii........

Aahhahahahaaa babuuuu.....

Kishimo cha panya hakijazwi na mate....🤣🤣🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…