Nasomea masuala ya umeme ntapata ajira?

selemabu

Member
Joined
May 19, 2014
Posts
46
Reaction score
10
Wana jamii, nauliza kuhusu haya maswala ya umeme mimi nasomea umeme hapa veta lakini nipo beginner mi naulza kwamfano nikimaliza kozi yangu serikali itatuchukua au mimi mwenyewe nitafute kazi au kule jeshini watanikubalia?
 
Serikali haiwachukui ndugu yangu,itabidi utafute mwenyewe kazi!Jeshini sio lazima wakukubalie,itategemea na vigezo vingine walivyoviweka kama utakuwa umevikidhi,kama umri,elimu na hali yako ya kiafya.Hiyo pia haitoshi,itategemea na ushindani,kwa maana kuna watu,wenye elimu kubwa ya umeme kuliko wewe,na vigezo vingi kukuzidi,hawajachukuliwa...Jipange kujiajiri kwa fani yako hiyo nzuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…