Nimeamua rsmi kuacha kumsikilizaMakanisa yote yenye usajili wa pencil yanayowezafutwa mda wowote Ni lzm yaabudu Sana ili kuendelea kuwaibia waumini sadaka
Katunzi Ni kibaraka Kama gamanywa,lusekelo,mashimo,kakobe,nabii tito, gwajiboy,huofia huduma zao kufutwaNimeamua rsmi kuacha kumsikiliza
Leo nimeamini kabisa kabisaKatunzi Ni kibaraka Kama gamanywa,lusekelo,mashimo,kakobe,nabii tito, gwajiboy,huofia huduma zao kufutwa
Kakobe baada ya kuunga juhudi na uraia wake akarejeshewaLeo nimeamini kabisa kabisa
Inaumiza kuhuthu dini na mazehebu yetu hayaKakobe baada ya kuunga juhudi na uraia wake akarejeshewa
Katunzi Ni kibaraka Kama gamanywa,lusekelo,mashimo,kakobe,nabii tito, gwajiboy,huofia huduma zao kufutwa
Wachungaji wote matapeli, wachumia tumbo, na wajanja wajanja wamejificha kwa Magufuli. Huu ndio ukweli. anayetaka kuthibitisha na afanye uchunguzi. Lusekelo tapeli, gamanywa tapeli, katunzi tapeli...orodha ni ndefu. Lakini kipimo cha kumfahamu mchungaji tapeli ni mahusiano yake na siasa za bongo!Nasikiliza mahubili ya Mchungaji Katunzi muda huu hapa Upendo Radio kipindi ambacho kilirekodiwa siku ya ibada juzi.
Anasema Magufuri aritoa sadaka Corona ikatoweka kwahio Atasimama na Magufuri hata kwenye uchaguzi guu maana hakuna MTU muzuri kama Magu.
Hii ni sehemu tu ya alichokiongea ila aliendelea kuwaponda na Maaskofu wariofunga makanisa msimu wa Corona.
Kwa kuzingati ujumbs wa juzi wa kamati ya Amani kuhusu watumishi kuhubiri siasa makanisani nashauri huyu nae akemewe kama mlivymkemea na kumtusi Mwingila
Sikiliza kuanzia dakika 45
Kamati ya kinafikiNasikiliza mahubili ya Mchungaji Katunzi muda huu hapa Upendo Radio kipindi ambacho kilirekodiwa siku ya ibada juzi.
Anasema Magufuli aritoa sadaka Corona ikatoweka kwahiyo atasimama na Magufuli hata kwenye uchaguzi guu maana hakuna MTU muzuri kama Magu.
Hii ni sehemu tu ya alichokiongea ila aliendelea kuwaponda na Maaskofu wariofunga makanisa msimu wa Corona.
Kwa kuzingati ujumbe wa juzi wa kamati ya Amani kuhusu watumishi kuhubiri siasa makanisani nashauri huyu naye akemewe kama mlivymkemea na kumtusi Mwingira.
Sikiliza kuanzia dakika 45
Nasikiliza mahubili ya Mchungaji Katunzi muda huu hapa Upendo Radio kipindi ambacho kilirekodiwa siku ya ibada juzi.
Anasema Magufuli aritoa sadaka Corona ikatoweka kwahiyo atasimama na Magufuli hata kwenye uchaguzi guu maana hakuna MTU muzuri kama Magu.
Hii ni sehemu tu ya alichokiongea ila aliendelea kuwaponda na Maaskofu wariofunga makanisa msimu wa Corona.
Kwa kuzingati ujumbe wa juzi wa kamati ya Amani kuhusu watumishi kuhubiri siasa makanisani nashauri huyu naye akemewe kama mlivymkemea na kumtusi Mwingira.
Sikiliza kuanzia dakika 45
Siyo kundecha ni sheikh al haadi Mussa.Hiyo kamati ya sheikh kundecha,sio kamati ya amani bali ni kamati ya kumsaidia jiwe katika kuhujumu uchaguzi kwahiyo hutawaona wakimkemea MTU anaefanya kama watakavyo wao
Mimi nilikua sikosi mahubiri yake kila jumapili usiku radio wapo na Alhamis radio Upendo, sasa ndio nikasikia huu upupu wake. Nimefazaika sanaNayapenda mahubiri yake lakin kwa huu undezi wa kuwatetea hawa maharamia wa kijani, natangaza rasmi kuacha kumsikiliza
Nitawafungiamo woteNani wa kumfunga paka kengele?