mkolaj
JF-Expert Member
- Mar 24, 2014
- 3,023
- 1,089
Ndugu wanaJF, naombeni msaada wenu kwani najua hapa ndo tegememeo langu kwa hili tatizo. Kiukwel ndugu zangu nimekuwa nikisumbulia na homa ya kuumwa sehemu zote za viungo za mwili wangu pamoja na mwili kuwasha hasa maeneo ya mikononi na mapajani.
Nimeenda hospitalin zaid ya mara 3 kupata tiba ila mpaka leo hii karibu wiki 2 sasa sioni mabadiliko. Jaman ndugu zangu najua humu kuna madaktari bingwa mnaweza kunisaidia hivi dalili nilizozisema hapo kati ni za ugonjwa gani na tiba yake ni ipi?
Tafadhal naombeni msaada wenu hali sio mzuri.....
Nimeenda hospitalin zaid ya mara 3 kupata tiba ila mpaka leo hii karibu wiki 2 sasa sioni mabadiliko. Jaman ndugu zangu najua humu kuna madaktari bingwa mnaweza kunisaidia hivi dalili nilizozisema hapo kati ni za ugonjwa gani na tiba yake ni ipi?
Tafadhal naombeni msaada wenu hali sio mzuri.....