Ndugu wanajf naombeni
msaada wenu kwani najua hapa ndo tegememeo langu kwa hili
tatizo...kiukwel ndugu zangu nimekuwa nikisumbulia na homa ya kuumwa
sehemu zote za viungo za mwili wangu pamoja na mwili kuwasha hasa maeneo
ya mikononi na mapajan, nimeenda hospitalin zaid ya mara 3 kupata tiba
ila mpaka leo hii karibu wiki 2 sasa sioni mabadiliko.Jaman ndugu zangu
najua humu kuna madaktari bingwa mnaweza kunisaidia hivi dalili
nilizozisema hapo kati ni za ugonjwa gani na tiba yake ni ipi!!!!
tafadhal naombeni msaada wenu hali sio mzuri.....
Kiukweli sijafanya vipimo vyote vya mwili isipokua kila nilipokua naenda hospitali na kuwaeleza waganga kuhusu haya maumivi walikua wanachukua dawa na kunipatia kwa kuliona hili tatizo ni lakawaida tu!!! asante kwa ushauri ndugu yangu ZION DAUGHTERumefanya vipimo vyote pamoja na kile cha angaza?kama bado rudi hospital fanya check ya mwili
TIBA YA MALARIANdugu wanaJF, naombeni msaada wenu kwani najua hapa ndo tegememeo langu kwa hili tatizo. Kiukwel ndugu zangu nimekuwa nikisumbulia na homa ya kuumwa sehemu zote za viungo za mwili wangu pamoja na mwili kuwasha hasa maeneo ya mikononi na mapajani.
Nimeenda hospitalin zaid ya mara 3 kupata tiba ila mpaka leo hii karibu wiki 2 sasa sioni mabadiliko. Jaman ndugu zangu najua humu kuna madaktari bingwa mnaweza kunisaidia hivi dalili nilizozisema hapo kati ni za ugonjwa gani na tiba yake ni ipi?
Tafadhal naombeni msaada wenu hali sio mzuri.....
mkuu Arushaone Hujambo lakini? Ukiwa na Swali waweza kunitafuta bonyeza hapa.http://https://www.jamiiforums.com/conversations/add?to=MziziMkavuMziziMkavu njoo faster please!