Nasumbuliwa na Kifua Msaada Wadau

chakii

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2013
Posts
20,834
Reaction score
26,217
Habari wana-JF,

Nasumbuliwa na kifua kubana,

Kila nivutapo pumzi ndani au nje mbavu zinabana na kutoa sauti kama mtu anayevunja vijiti vikavu.

Kwa mtu aliye karibu yangu wakati huo anaweza kabisa kusikia sauti ninapovuta hewa kwani zinakakamaa kabisa.

Natanguliza shukrani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…