Kiukweli huwa sipendi kunywa dawa za hospitali sana hasa kwa ugonjwa wa mafua naachaga tu unaisha wenyewe. This time haya mafua yamechukua muda kidogo kuna saa nakohoa sana nabanja kidogo,
Naombeni ushauri nitumie nini cha asili liishe hao wakina mucolyn kweli sipendeleagi.
Naombeni ushauri nitumie nini cha asili liishe hao wakina mucolyn kweli sipendeleagi.