nasumbuliwa na koo

maranatha

Member
Joined
Feb 14, 2012
Posts
58
Reaction score
11
nina tatizo la koo kwa miaka miwili sasa nimeenda hospitali na kufanyiwa vipimo nimeambiwa nina cricopharyingits nimetumia dawa intulia kwa muda kisha hali inarudi tena nimeenda kwa tiba mbadala napo bado.naomba msaada wenu je huu ni ugonjwa sugu au sijapata tiba sahihi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…