Nasumbuliwa na maumivu kwenye magoti nikichuchumaa nasikia maumivu

mtoto mdg

Member
Joined
Sep 22, 2016
Posts
65
Reaction score
54
Habari
Nasumbuliwa na maumivu kwenye magoti nikichuchumaa nasikia maumivu nikinyanyuka napo maumivu lilianza goti LA mguu wa kushoto saivi ni miguu yote sijui ni nini hiki cjui nfanyaje
Ushaur plz.
 
Habari
Nasumbuliwa na maumivu kwenye magoti nikichuchumaa nasikia maumivu nikinyanyuka napo maumivu lilianza goti LA mguu wa kushoto saivi ni miguu yote sijui ni nini hiki cjui nfanyaje
Ushaur plz.
Una umri gani?
 
Jitahidi kula mbegumbegu hasa karanga angalau robo kilo kwa siku
 
Ninmatokeo ya Zile nyama za mbuzi ulikua unazifurahia ...
Nipe Salala.
 
Punguza kijichua, hizo synovial fluid/ugiligili unazimaliza
Habari
Nasumbuliwa na maumivu kwenye magoti nikichuchumaa nasikia maumivu nikinyanyuka napo maumivu lilianza goti LA mguu wa kushoto saivi ni miguu yote sijui ni nini hiki cjui nfanyaje
Ushaur plz.
 
Habari
Nasumbuliwa na maumivu kwenye magoti nikichuchumaa nasikia maumivu nikinyanyuka napo maumivu lilianza goti LA mguu wa kushoto saivi ni miguu yote sijui ni nini hiki cjui nfanyaje
Ushaur plz.
Nenda hospitali kwanza.
 
Kunywa maji ya kutosha hasa alfajiri. Pia kula bamia mara kwa mara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…