Nasumbuliwa na maumivu makali upande wa kulia wa tumbo kwa chini

Nasumbuliwa na maumivu makali upande wa kulia wa tumbo kwa chini

Joined
Mar 9, 2023
Posts
48
Reaction score
61
Siku moja nyuma nilikosa maji Fresh kwaajili ya kunywa, kutokana na hali ya Dar es laam upatkanaji wa maji ya chumvi ni mkubwa sana ikanibd niyatumie kama sehemu ya maji ya kunywa kitendo ambacho ckuwai kukifanya na kama nikikifanya huwa nakunywa kidogo sana, ila kwa siku ile nilikunywa maji mengi sana ya chumvi.
Ilipofika usiku mambo yalibadilika (saa nane) nkaenda hosptal nkapima damu na mkojo nkagundulika nina U.T.I lakini doctor akanambia kwa hali ya maumivu nayokuoona nayo naomba tufanye ULTRA-SOUND, baada ya ultra majibu yametoka, katika kuelezewa majibu nkaambiwa either kuna kijiwe kimeziba mfumo wa mkojo au uvimbe ila yule wa ultra sound alishindwa tambua, ikabd aniandikie CT-SCAN, ambayo mpaka sasa cjaifanya kwasababu natumia cash afu ni Private hosptal,
NAOMBENI USHAURI KUTOKA KWENU WATU WENYE UZOEFU
NAambatanisha majibu ya ULTRA-SOUND
 

Attachments

  • 17302650994289061201711883542823.jpg
    17302650994289061201711883542823.jpg
    197.1 KB · Views: 12
  • 17302651918557410190410643353061.jpg
    17302651918557410190410643353061.jpg
    233.2 KB · Views: 10
Pole mkali , CT scan hapo bongo sio ghali ni 250,000/=
 
Binafsi nahisi ni Appendicitis.

Nenda hospital tena Waeleze hivyo ,,,nakushauri hospitali ya serikali ngazi ya Wilaya au mkoa. (Sababu ya Costs)

Ikiwa kweli ni hiyo huwa wanaondoa tuu hiyo Appendix.

Nenda kafanye Ultra sound ya abdomen kuangalia kama appendix imevimba(swollen appendix)
 
Siku moja nyuma nilikosa maji Fresh kwaajili ya kunywa, kutokana na hali ya Dar es laam upatkanaji wa maji ya chumvi ni mkubwa sana ikanibd niyatumie kama sehemu ya maji ya kunywa kitendo ambacho ckuwai kukifanya na kama nikikifanya huwa nakunywa kidogo sana, ila kwa siku ile nilikunywa maji mengi sana ya chumvi.
Ilipofika usiku mambo yalibadilika (saa nane) nkaenda hosptal nkapima damu na mkojo nkagundulika nina U.T.I lakini doctor akanambia kwa hali ya maumivu nayokuoona nayo naomba tufanye ULTRA-SOUND, baada ya ultra majibu yametoka, katika kuelezewa majibu nkaambiwa either kuna kijiwe kimeziba mfumo wa mkojo au uvimbe ila yule wa ultra sound alishindwa tambua, ikabd aniandikie CT-SCAN, ambayo mpaka sasa cjaifanya kwasababu natumia cash afu ni Private hosptal,
NAOMBENI USHAURI KUTOKA KWENU WATU WENYE UZOEFU
NAambatanisha majibu ya ULTRA-SOUND
Pole sana mkuu,

Subiri wataalamu wanakuja.
 
Binafsi nahisi ni Appendicitis.

Nenda hospital tena Waeleze hivyo ,,,nakushauri hospitali ya serikali ngazi ya Wilaya au mkoa. (Sababu ya Costs)

Ikiwa kweli ni hiyo huwa wanaondoa tuu hiyo Appendix.

Nenda kafanye Ultra sound ya abdomen kuangalia kama appendix imevimba(swollen appendix)
Nmefanya ULTRA-SOUND kwa vile nilivyowaelezea wakasema kila kitu wenyewe wanaona kipo sawa, tatzo ni kwenye mfumo waa mkojo. Ntajaribu leo au kesho niende hosptal nyingine kwaajili ya ultra sound tuone kama kuna mfanano waa majibu
 
Nmefanya ULTRA-SOUND kwa vile nilivyowaelezea wakasema kila kitu wenyewe wanaona kipo sawa, tatzo ni kwenye mfumo waa mkojo. Ntajaribu leo au kesho niende hosptal nyingine kwaajili ya ultra sound tuone kama kuna mfanano waa majibu
Nishawahi kutana na Case hiyo sehemu Furani alikuwa ni kijana wa shule.

Ultra sound Hospitali furani haikuonyesha kitu lakini Kijana analalamika Maumivu makali.

Sababu Baba yake alikuwa ni Daktari alikuwa tayari na majibu ila alitaka ku prove akaenda Hospitali nyengine ikaonekana kuwa ni Appendicitis. Ikashuulikiwa ikaka sawa.

Nenda ikiwezekana Sema kabisa nina mashaka na Appendicitis huenda ukawazindua na wao wenyewe.
 
Back
Top Bottom