Nasumbuliwa na mauumivu ya korodani wakati wa kukojoa

Joined
Jan 17, 2015
Posts
8
Reaction score
0
Wakuu,

Nimekuwa nikisumbuliwa na maumivu ya korodani (pumbu) hasa nyakati za kukojoa na maumivu haya hutokea tu endapo nimekunywa maji mengi sana..
May be lita 2 au lita 2 na nusu mida ya asubuhi baada ya kuamka..

Naombeni kufahamishwa hii ni kwa sababu ya nini? Na suluhusho lake je?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…