Nasumbuliwa na mgongo

Young Gwahe

Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
53
Reaction score
163
Ni nasumbuliwa na mgongo, ni mda sasa naomba msaada wa dawa au hospital gani nzuri kwa matatizo haya, cwez kulala bila kukanyagwa mgongo nikichua inapunguza maumivu kwa mda tu.

NAWASILISHA
 
Uliwahi kwenda Hospital yoyoyte hapo mwanzo?
 
Tatizo Lako Lina Muda Gani? Je maumivu yanakuwepo muda wote au wakati ukifanya movement flani eg..Kuinama,Kunyanyuka kutoka kuketi,au wakati umeketi muda mrefu? Je unapata ganzi au maumivu kushuka miguuni?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…