Nasumbuliwa na ndoto za nyoka

Nasumbuliwa na ndoto za nyoka

ELIMU-RAB

New Member
Joined
Oct 11, 2020
Posts
4
Reaction score
3
Imekua ni kawaida kuota ndoto za nyoka yupo chumbani kwangu au kitandani kabisa. Na nikistuka huwa nipo na hofu kubwa sana.

Nini maana yake? Maana imekua ikinisumhua kwa mda mrefu sana!

Msaada tutani.

NB: Mimi ni muoga sana wa nyoka!
 
Inawezkana unawawaza sana hao nyoka ndo maana unawaota kwa sana
 
Nami nidandie mada,

Nasumbuliwa na ndoto zikionesha naendesha gari, pikipiki, baiskeli nk nk lakini vyote hukosa break ninapokuwa kwenye acceleration ninapokuwa naelekea kupata ajali baada ya kukosa break nashtuka usingizini
 
Hiyo sio ishara nzuri, ndoto ya nyoka inamaana nyingi. ngoja tuanzie hapa umeoa/umeolewa?
 
Kuna wakati ndoto za nyoka huja kwa ajili ya woga wako, na UNACHOKIOGOPA KINAKUTAWALA! Kwahiyo nyoka anakutawala mpaka kwenye ndoto zako.

Nyoka ndotoni ni ishara ya uadui kwenye ulimwengu wa mwili. Lakini pia nyoka huyo huyo anaweza kuwa ishara ingine isiyo ya uadui.

:Wazungu wanasema Nothing to fear but fear itself! Katika maisha kabla ya jambo lolote baya kukukuta lazima upewe kwanza hofu 😊😊 hofu ni kama waya ukishaunganishwa umeme unapita kirahisi! Ukiishinda hofu inayokutokea baada ya kuota nyoka basi umeushinda uadui unaokusumbua! maana hakuna uadui unaoshambulia mtu jasiri asie na chembe ya mashaka.
 
Ndoto ni ndoto tu nothing more to it.

Aliwazalo mjinga ndo linalomtokea, kama unawaza nyoka all day unataka uote nini, maparachichi?
 
Tafsiri ya ndoto ya nyoka

Nyoka katika ndoto ana maana mbili.

1) Adui, itategemea uimara wa huyo adui kwa mujibu wa ukali wake kwenye ndoto. Akiwa ana nguvu na mkali sana huo ni uimara wa huyo adui yako.

2) Ni dalili ya kusibiwa na jini. Aina gani ya jini itategemea na rangi gani ya nyoka unae muota.
 
Imekua ni kawaida kuota ndoto za nyoka yupo chumbani kwangu au kitandani kabisa. Na nikistuka huwa nipo na hofu kubwa sana.

Nini maana yake? Maana imekua ikinisumhua kwa mda mrefu sana!

Msaada tutani.

NB: Mimi ni muoga sana wa nyoka!
Omba siku moja umuote Mchina ndoto ya nyoka itaisha, Mchina atamla nyoka huyo fasta
 
Mkuu ndoto kwenye maandiko huashiria shetani, inategemea na ukubwa wa huyo nyoka!! Akiwa mdogo hayo ni mapepo, akiwa nyoka mkubwa mwenye vichwa vingi huyo ni shetani mwenyewe,
Hizo ndoto zinakomeshwa tu kwa KULITAJA JINA LA YESU PAMOJA NA DAMU YA YESU KWENYE , ukizipuzia hizo ndoto kifo kinakuita na utaenda motoni kwa kupuzia ndoto hizo
 
Imekua ni kawaida kuota ndoto za nyoka yupo chumbani kwangu au kitandani kabisa. Na nikistuka huwa nipo na hofu kubwa sana.

Nini maana yake? Maana imekua ikinisumhua kwa mda mrefu sana!

Msaada tutani.

NB: Mimi ni muoga sana wa nyoka!
Ukiota umemuina nyoka, basi hiyo ni ishara kwamba utakutana na mtu ambaye hamjaonana mda mrefu
 
Nami nidandie mada,

Nasumbuliwa na ndoto zikionesha naendesha gari, pikipiki, baiskeli nk nk lakini vyote hukosa break ninapokuwa kwenye acceleration ninapokuwa naelekea kupata ajali baada ya kukosa break nashtuka usingizini
Hi ni hatari sana🤣
 
Back
Top Bottom