jamani wadau wa jamiiforum doctor naombeni ushauri,nasumbuliwa na kifua kinauma na kukohoa mbaya zaidi hata nikitembea nachoka haraka.
jamani wadau wa jamiiforum doctor naombeni ushauri,nasumbuliwa na kifua kinauma na kukohoa mbaya zaidi hata nikitembea nachoka haraka.
hiyo yaweza kuwa TB wahi haraka ukapime
jamani wadau wa jamiiforum doctor naombeni ushauri,nasumbuliwa na kifua kinauma na kukohoa mbaya zaidi hata nikitembea nachoka haraka.