Rodney tikyomo
Member
- May 4, 2022
- 6
- 2
Jamani wapendwa ninaomba msaada wa tiba ya tatizo la maskio kusikia kelele Nina miaka 5 Sasa sijapata suluhisho .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama upo Dar nenda magomeni kwa yule daktari Mmasai pale Ekenywa ni specialist wa masikio.Jamani wapendwa ninaomba msaada wa tiba ya tatizo la maskio kusikia kelele Nina miaka 5 Sasa sijapata suluhisho .
Hiyo kwa kitaalamu tunaita Tinnitus, nenda hospitali waambie unataka kuonana na daktari anayehusika na masikio kwa kitaalamu tunawaimba ENT specialist (Ear,Nose and Throat)Jamani wapendwa ninaomba msaada wa tiba ya tatizo la maskio kusikia kelele Nina miaka 5 Sasa sijapata suluhisho .
Mtafute Dr Simba,nenda Mhimbili au Burhan Hospital,ni daktari Bingwa wa masikio.Mtangulize Mungu,utaponaJamani wapendwa ninaomba msaada wa tiba ya tatizo la maskio kusikia kelele Nina miaka 5 Sasa sijapata suluhish
Kama upo Dar nenda magomeni kwa yule daktari Mmasai pale Ekenywa ni specialist wa masikio.