Nasumbuliwa na vidonda kwenye kende

Nasumbuliwa na vidonda kwenye kende

Mzee Saliboko

JF-Expert Member
Joined
Jan 29, 2018
Posts
1,311
Reaction score
1,018
Jamani naombeni ushauri jinsi ya kuvitibu haraka vidonda kwenye ngozi ya mapumbu. Vimetokana na wakati naoga nilijisugua kwa nguvu kwa dodoki nikachubuka sasa vina wiki 1. Natumia sabuni ya zoazoa.

Ahsante.
 
Jamani naombeni ushauri jinsi ya kuvitibu haraka vidonda kwenye ngozi ya mapumbu. Vimetokana na wakati naoga nilijisugua kwa nguvu kwa dodoki nikachubuka sasa vina wiki 1. Natumia sabuni ya zoazoa.

Ahsante.
Sabuni ya Zoazoa sio Dawa, nenda Hospitali kapewe dawa proper
 
Jamani naombeni ushauri jinsi ya kuvitibu haraka vidonda kwenye ngozi ya mapumbu. Vimetokana na wakati naoga nilijisugua kwa nguvu kwa dodoki nikachubuka sasa vina wiki 1. Natumia sabuni ya zoazoa.

Ahsante.
Vitapona.
Ila usijisugue sana sehemu hizo zipo delicate. Ikiwa sababu ni changamoto ya muwasho basi bora utibu chanzo cha huo muwasho kuliko kujisugua na sabuni kali. Jisafishe kawaida tu, usije kutengeneza shida nyengine bure.
 
Back
Top Bottom