Yuas R Sakitwe
New Member
- Jun 12, 2015
- 3
- 4
Mke wangu alikuwa anasumbuka sana na hivyo vidonda vya tumbo.Kuna siku niliingia humu JF nikakuta kuna uzi unaelezea dawa ya vidonda vya tumbo inaitwa mashona nguo.Nikaenda home,nikayachuma mengi na kumchemshia waifu.Alitumia kama wiki hivi.Hajasumbuliwa tena mpaka leo.Jaribu na weweHabari wana jf, nasumbuliwa na madonda ya tumbo kwa muda mrefu
Nahitaji kujua anayejua herbal clinic ya uhakika (mana wengi dawa sio wa aminifu)
Naomba kuelekezwa herbal clinic inayotoa dawa za uhakika mana nina madonda ta tumbo kwa zaidi ya miaka 10
Shida yangu kubwa imekua TUMBO KUJAA GAS NA KUUNGURUMA licha ya kumeza dawa aina zote za minyoo pharmacy
Hali hyo inanifanya nisiwe na aman kwan kuunguruma kwa tumbo mbele za watu kunikwaza sana sana
Nikiipata iliyoko moshi itapendeza mana kwa muda huu niko moshi japo sio mwenyeji sana.
Naomba kuwasilisha
Mashona nguo ndio majani gani hayo?Mke wangu alikuwa anasumbuka sana na hivyo vidonda vya tumbo.Kuna siku niliingia humu JF nikakuta kuna uzi unaelezea dawa ya vidonda vya tumbo inaitwa mashona nguo.Nikaenda home,nikayachuma mengi na kumchemshia waifu.Alitumia kama wiki hivi.Hajasumbuliwa tena mpaka leo.Jaribu na wewe
Sahizi ishakuwa kama dozi yake.Kwa wiki anakunywa mara mbili maji ya mashona nguo yaliyochemshwa.Kikombe cha toboMke wangu alikuwa anasumbuka sana na hivyo vidonda vya tumbo.Kuna siku niliingia humu JF nikakuta kuna uzi unaelezea dawa ya vidonda vya tumbo inaitwa mashona nguo.Nikaenda home,nikayachuma mengi na kumchemshia waifu.Alitumia kama wiki hivi.Hajasumbuliwa tena mpaka leo.Jaribu na wewe
Ingia tu google search hilo jina.Alafu angaliza hizo picha zake.Ni majani flani hivi yanajioteaga tu maporini.Wangoni wanayaita Manyonyori.Mashona nguo ndio majani gani hayo?
Unakuwaje hiyo mamii?Dawa haina hata gharama,
Anza sasa dozi ya Bamia na Matango,
Ukipona peleka shukran kwa Watoto yatima.
Ndiyo yale masheri sheri?Mke wangu alikuwa anasumbuka sana na hivyo vidonda vya tumbo.Kuna siku niliingia humu JF nikakuta kuna uzi unaelezea dawa ya vidonda vya tumbo inaitwa mashona nguo.Nikaenda home,nikayachuma mengi na kumchemshia waifu.Alitumia kama wiki hivi.Hajasumbuliwa tena mpaka leo.Jaribu na wewe
Bila shaka.Ni hayohayo.Ngoja nigoogle niyaweke hapaNdiyo yale masheri sheri?
Bamia na matango vinatumikaje madam, anatafuna au anblend kama juiceDawa haina hata gharama,
Anza sasa dozi ya Bamia na Matango,
Ukipona peleka shukran kwa Watoto yatima.
Wagonjwa ni wengine, tusaidie namna ya utayarishaji na matumizi.Dawa haina hata gharama,
Anza sasa dozi ya Bamia na Matango,
Ukipona peleka shukran kwa Watoto yatima.
wasambaa wanayaita mbwembwe,ni mboga na pia yanatumika kwa ajili ya kuongeza damu kwa wingi na haraka....masoko makubwa pia unaweza kuyapata kama soko la ilala upande wa mboga za majaniIngia tu google search hilo jina.Alafu angaliza hizo picha zake.Ni majani flani hivi yanajioteaga tu maporini.Wangoni wanayaita Manyonyori.
Vipi nikiweka vyote majani,mizizi na matunda nichemshe yote itafanya kazi?mashona nguo.Chuma majani yake.Chemsha maji ya vuguvugu na uloweke hayo majani.Baada ya dakika 15-30 chuja hiyo juisi yake unywe robo kikombe.Asubuhi na Jioni
Vipi huku kusini yanapatiana mkoa gani?wasambaa wanayaita mbwembwe,ni mboga na pia yanatumika kwa ajili ya kuongeza damu kwa wingi na haraka....masoko makubwa pia unaweza kuyapata kama soko la ilala upande wa mboga za majani
mashona nguo ni dawa inayotibu maradhi mengi hata waliopata ajali damu ikawa inavuja kwa ndani ukitumia inatibuwasambaa wanayaita mbwembwe,ni mboga na pia yanatumika kwa ajili ya kuongeza damu kwa wingi na haraka....masoko makubwa pia unaweza kuyapata kama soko la ilala upande wa mboga za majani
Naamini itafanya tu.JaribuVipi nikiweka vyote majani,mizizi na matunda nichemshe yote itafanya kazi?