ila ujue endapo utawashtaki mahakaman, basi ujue wewe ndo una mzigo wa kuthibitisha kivipi vodacon wameshindwa kukupatia huduma uliyo lipia,
na wao pia lazima wata rise defences nying za kupinga hizo tuhuma zako,
sasa hiyo battle ukishinda, utapata pesa nyingi, sio tu ulizolipia hilo bando, bali hata gharama za kesi, na malupulupu mengne meng, lakini wakishinda voda sasa, hapo ndo utakwanguliwa hela za kutosha mbali na kwamba washakupiga hela za kutosha.
ushauri wangu we usiende mahakaman ila kama unataka nenda for your own risk!