AaaaaaaaaaaMsimu huu arsenal hatoboii yaani championship inawahusu
Ndio championship...Sasa arsenal hii itamfunga nani?? Yaan hata wafukuze kocha ni mwendo wa vipigo tuu.
Wachezaji wote waajabu ajabu tu
Na mechi ijayo ni dhidi ya man city mtapigwa hadi mchakaeee
View attachment 1904426
Sikumbuki Ila mm nazungumzia Sasa hiviMara ya mwisho kushuka ilikuwa lini
Naheshimu mawazo yako ila umekurupuka kuanzisha uzi huna evidence yoyote ya kina kutetea ulichopost na hata hustoria ya hiyo timu huijui mno.Msimu huu arsenal hatoboii yaani championship inawahusu
Ndio championship...Sasa arsenal hii itamfunga nani?? Yaan hata wafukuze kocha ni mwendo wa vipigo tuu.
Wachezaji wote waajabu ajabu tu
Na mechi ijayo ni dhidi ya man city mtapigwa hadi mchakaeee
View attachment 1904426
Huo ni utabiri naona na wewe unekurupuka kureplyNaheshimu mawazo yako ila umekurupuka kuanzisha uzi huna evidence yoyote ya kina kutetea ulichopost na hata hustoria ya hiyo timu huijui mno.
Thubutuuu mtapigwa hadi mchakaeKushuka haishuki, top 6 itakuwemo. Na huyo man city wenu akileta za kuleta anapokea kichapo vilevile.
Kama ni utabiri hakuna shida maana pia wapo watu huwatabiria wengine vifo mwishoni hufa wao hivyo kutokea ni yamkini.Huo ni utabiri naona na wewe unekurupuka kureply
Arsenal haijawahi kushuka daraja.Mara ya mwisho kushuka ilikuwa lini