Kiby
JF-Expert Member
- Nov 16, 2009
- 6,921
- 4,683
Mapingamizi mengi yamefunguliwa na wagombea sehemu mbali mbali.
Wagombea wa ccm walipomtuhumu mgombea wa upinzani kwa kumwekea pingamizi, yule aliyewekewa pingamizi ndie aliyetakiwa kuwakilisha ushahidi dhidi ya shutuma anazotuhumiwa.
Wagombea wa upinzani walipoweka pingamizi kwa mgombea wa ccm, ndio waliotakiwa kuwakilisha ushahidi wa shutuma zao dhidi ya mgombea huyo wa ccm.
Hivyo kwa mwendo huu natabiri uchaguzi kuvurugwa na NEC ya Lewis.
Wagombea wa ccm walipomtuhumu mgombea wa upinzani kwa kumwekea pingamizi, yule aliyewekewa pingamizi ndie aliyetakiwa kuwakilisha ushahidi dhidi ya shutuma anazotuhumiwa.
Wagombea wa upinzani walipoweka pingamizi kwa mgombea wa ccm, ndio waliotakiwa kuwakilisha ushahidi wa shutuma zao dhidi ya mgombea huyo wa ccm.
Hivyo kwa mwendo huu natabiri uchaguzi kuvurugwa na NEC ya Lewis.