Nisikilizeni Mwanasheria... Anae dai kwamba huyu mtu sio raia, ndo anatakiwa kuleta vielelezo, au kuprove, ikionekana kuna ukweli kwenye madai hayo, basi aliewekewa pingamizi ndo atatakiwa ajibu. na kama mapingamizi ni ya kusema tu kama la Masha, basi msimamizi wa uchaguzi alipaswa kutupilia mbali pingamizi hilo.
kinachoonekana ni mchezo mchafu tu,, wa kutaka kuwaonea wapinzani. Lakini tatizo ni tume huru ya uchaguzi, ndo kitu tunachokikosa TANZANIA.
We need changes "SLAA IS THE CHANGE WE NEED, YES WE CAN"