jiwe gizani
JF-Expert Member
- May 25, 2021
- 380
- 507
Ukikosa zote izo we acha kufatilia mpira [emoji3]Niko Paris, upepo ukigeuka nahamia Italy, ugali ukimwagika nakimbilia German, mboga nazo zikinyofoka nitajua nashibaje..
Hahahaa ngoja tusubiri mkuuUkikosa zote izo we acha kufatilia mpira [emoji3]
You go against the odds [emoji3]Wazee wa mikeka hatuna habari
Tunacheza na Odd tu
Sawa mkuuHahahaa ngoja tusubiri mkuu
Yah ukiweka mahaba lazima uchukie huu mchezoYou go against the odds [emoji3]
Hahaha sawa mkuu...kubet kazi [emoji3]Yah ukiweka mahaba lazima uchukie huu mchezo
Mpambane Sana mfike hata nusuSisi kama 3 LIONS , ENGLAND hii ndo euro yetu.
Ndio mkuu wapo vizuriiHata mimi France anaweza kubeba