NATABIRI: Timu ya Taifa ya Ufaransa itakuwa bingwa kwenye mashindano haya ya EURO yanayotegemewa kuanza 11/6/2021

Hao hawana lolote, wametolewa jasho na Uswisi hadi wamewatoa mashindanoni. Tafuta timu nyingine uitabirie. Belgium na Italy wako vizuri hata Denmark sio wa kupuuza.
 
Baki na Italy tu
Daahh, comment nilikuwa naitafuta sana, nilisahau hub uzi ila nilikuwa naikumbuka comment

Sasa na nabaki Italy ingawa maajabu hayakosekani, ambao hatukuwatarajia wametuacha midomo wazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…