chawa wa mama
JF-Expert Member
- Jun 8, 2020
- 292
- 1,084
Huyu mweusi Kila siku Hua anapigwa na Tom
Naungana nawe. ENGLAND ni bingwa wa dunia 2022
Maalim Yahaya kwema?Tunguli linasema France anakula kichapo.
Semi final ni
Morocco vs England
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukiwa na njaa halafu ufanye utabiri mara nyingi matokeo huwa kama haya.
Mshana sr🤣Maalim Yahaya kwema?
Kila nikitazama uchu wa mwingereza kuchukua kombe hili, na kikosi alichonacho, aiseee! It's coming home.
Wafaransa wanapendwa kwa rangi yao tu na kidogo vijina vya wavulana wao wanaorukaruka uwanjani wale.
Ila isipojiangalia leo Ufaransa inaenda kupata aibu ya Karne.
Wekea lamination Uzi huu kwa rejea ya baadae
Sasa hivi limeibuka kundi la watabiriPUNGUZENI KUTABIRI TABIRI VIJANA.
KILA SIKU NAWAONYA HAMNISIKII
HahahaKila nikitazama uchu wa mwingereza kuchukua kombe hili, na kikosi alichonacho, aiseee! It's coming home.
Wafaransa wanapendwa kwa rangi yao tu na kidogo vijina vya wavulana wao wanaorukaruka uwanjani wale.
Ila isipojiangalia leo Ufaransa inaenda kupata aibu ya Karne.
Wekea lamination Uzi huu kwa rejea ya baadae