Zozotoli
Member
- Jun 21, 2021
- 22
- 53
Mwaka huu yanga watachukuwa kombe la afrika najua kuna watakao bisha but this is the trueth na ninafikiri wengine watanitukana na kusema ninaota na wengine watajiuliza eti kwani itawezekanaje yanga iyi tunayo ijua ibebe kombe la afrika bro’s amini ninacho wambia and you will see
Mimi sio mganga wala nani bali naombeni Mungu awape nguvu ili mwisho wa msimu huu mrudie apa kuconment nilicho kiandika
Mimi sio mganga wala nani bali naombeni Mungu awape nguvu ili mwisho wa msimu huu mrudie apa kuconment nilicho kiandika