Natabiri Yanga kuchukua kombe la Africa

Zozotoli

Member
Joined
Jun 21, 2021
Posts
22
Reaction score
53
Mwaka huu yanga watachukuwa kombe la afrika najua kuna watakao bisha but this is the trueth na ninafikiri wengine watanitukana na kusema ninaota na wengine watajiuliza eti kwani itawezekanaje yanga iyi tunayo ijua ibebe kombe la afrika bro’s amini ninacho wambia and you will see

Mimi sio mganga wala nani bali naombeni Mungu awape nguvu ili mwisho wa msimu huu mrudie apa kuconment nilicho kiandika
 
Juzi nilisema hapa,kifurushi chenu cha kufurahi na kucheka kimekaribia kwisha baadhi ya wanautopolo mkanibeza

Ona sasa Jana kilichotokea..GSM wala hana habari maana business yake ya kuuza jezi na kutangaza magodoro inamwendea vizuri kabisa,tena kamuajiri manara aendelee kupiga Debe baaada ya kuona nugaz anapwaya

Acheni kujifariji,nyinyi ni arsenal ya bongo,fungu menu ni malalamiko na kulialia
 

Mwisho wa league ya afrika urudi apa na nita kuombea Mungu uwe mzima na mimi mzima ili uje kufuta sms yako
 
Twende kwenye point jinsi uhalisia wa mambo yalivyo,kocha Nabi kasema mpaka timu iwe na muunganiko ni angalau miezi mitatu ipite.wakati Yanga wana mechi siku za karibuni,hapo nina uhakika mtakua mshatolewa CAFCL[emoji23][emoji23][emoji23]
 
this is the trueth

nimeconment
 
Twende kwenye point jinsi uhalisia wa mambo yalivyo,kocha Nabi kasema mpaka timu iwe na muunganiko ni angalau miezi mitatu ipite.wakati Yanga wana mechi siku za karibuni,hapo nina uhakika mtakua mshatolewa CAFCL[emoji23][emoji23][emoji23]
Matokeo ya Jana Wala yasiwe kigezo Cha kuitoa timu kwenyeTitle race. Kufungwa kwenye mechi za matamasha Kama la Jana hutokea na so kwamba timu inakuwa hovyo, hata Simba sc mwaka juzi kwenye tamasha lao la Simba day walikula chuma 3-0 toka Zesco United ya Zambia, lakini matokeo hayo hayakuakisi mwenendo na matokeo halisi ya SSC kwenye Vpl msimu huo. Tuwache propaganda na kukatishana tamaa. Kazi iendelee
 
Najua kuna wanaobisha na kujiuliza

Maswali mengi juu ya maneno yangu aya Ila ukweli ni kuwa yanga awatocheza mpira wa kuvutia au nini

Ila ukweli ni kwamba watakuwa wanafunga goal moja kila machi

Yaani wakikupiga ugenini nyumbani huendi kugomboa wakikupiga nyumbani ugenini ugomboi

Na kuambia team pinzani ata watumie uchawi wa kiasi gani hakika ya Mungu matokeo yatabaki vile vile


Na kuakikishia machi yao ya kwanza watapiga bao moja tu na akuna mchezo wowote ambao wata ucheza wa kuvutia na hakika nigeria wata enda 0-0


I’m not Tanzania but this is trueth
 
Simba haikuchukua ubingwa msimu huo
 
Tunakusubiri wewe Simba Nyama pori Tarehe 25/9/2021 ,yana tutakutafunatafuna na kunywa Supu yako bila huruma wewe si jeuri utaona kitakachokupata.
 
unafikiri kombe la Afrika ni matako
Matako ni Simba ambaye anasubiri kuliwa na kunywa Supu yake na Yanga kwenye ngao ya jamii Tarehe 25/9/2021. Naomba muweke kumbukumbu ya maneno yangu safari hii Kwenye Club bingwa Simba anatolewa mapemaaaaaaa.Kipigo kwa mechi zote akifurukuta sana katoa sare walau kamechi kamoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…