Natafakari nini cha kumfanya...

Natafakari nini cha kumfanya...

souljar

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2021
Posts
854
Reaction score
1,831
Habari wanaJF, nitajitaidi kufupisha japo mambo ni mengi sana.

Mwaka jana mwezi wa saba nilifanikiwa kupata mtoto mmoja wa kule milimani akiwa sehemu yake ya kazi akiwa na jiko sehemu flani beach kwa upande wa juu,kiukweli yule binti nirembo sana na yuko very smart and manipulator mzuri sana, mapenzi yalianza kwa mbwebwe mpaka nyumba kwetu na kwao plus mtoto wake na mzazi wake kunijua mambo yalianza kubadilika kidogo kidogo mara ataki Twende wote sehemu mara mawasiliano anachoka sana mpaka awe free by that time nimeshazama mazima, alinichezea mind game moja hatari kuniaminisha she is very innocent na hofu ya Mungu basi nikalibeba ilo lakini chini ya kapeti nasikia story za mtaani kuna jamaa mmoja wa beach flani naye anapiga na wanaonekana nikiuliza nakatiliwa so nikasema sio kesi maisha yaendelee.

This year January akiwa kwao uko milimani siku ya new year nikapewa block moja ya watsap na call nikarudiwa na sababu ya kuwa kuna msiba kwao hakuwa sawa lakini cha ajabu hakujua natumia simu nyingine kuview status zake akiwa anajiachia mahotelini and so ikaenda nikablockiwa tena this time nikaambiwa simu imekufa tukawa tunawasiliana kwa simu yake nyingine up to date, kuna ahadi nilimpa kwa kweli imekuwa kama fimbo na imeonyesha yuko interest ya iyo ahadi kuliko ata mimi muhusika nilichofanya nikawa natoa kidogo kidogo, inafika mda iyo simu nyingine nayo inazimwa pia kwaiyo imekuwa vurugu kabsa ndani ya moyo.Mda wote huu mimi ndio nilikuwa na sponsor kila kitu mtaji, pocket money, hela ya kula nyumbani, kodi ata ada ya mtoto na vitu vinge vidogo vidogo.

Maswali ninayo mengi sana kichwani kosa langu liko wapi na mbona hakuwa muwazi toka mwanzo nipite nisepe zangu i dedicated my self kwenye hayo mahusiano kujua nimepata mke bora kabsa nimejikuta nimeingia kwenye madeni yasio na misingi yote kujaribu kumridhisha.Sio kwamba nimekosa mwanamke wakunipenda au sina muonekano ila nimeamua kutulia naye tuanze maisha kwa kweli haya mambo yasikieni kwa mwenzako nimepoteza kilo za kutosha nimejikuta nimetumia zaidi ya 10M ndani ya miezi 6.Nimegombana na washkaji na ndugu sababu yake nikiamini hawamjui vzuri lakn makucha yake nimekuja kuona mwisho.

WanaJF naombeni mnipe muongozo kwenu nimeingiwa na chuki sana sijawai mfanyia mtu baya lakini this time am ready ata kuroga,kama mtu akuwa na huruma na utu juu yako unakuwa kuwaje na huruma kwake,nimejikuta natafakari mengi sana labda ndio tabia yake kucheza na hisia za watu nakuamia kwa mwingine kwa sababu kwa sasa nimemwambia sina kitu ameamua kukaa kimya na simu inazimwa mda mwingine, kuna mtu kaingia mkenge tena nadhani sasa huyu kawa janga la taifa inaweza mkuta mdogo wako au ndugu yako tusitumie jazba wala matusi,i admit she caught me off guard kabisa with the ability she as ni tatizo.
 
Kama ulifanya kwa mapenzi kutoka moyoni tulia jipe muda zaidi wa kupumzika na kutafakari naamini haya maamuzi unayotaka kuchukua hautachukua, kubali hasara tu kama mfanyabiashara anapopata hasara kwenye uwekezaji mpya na iwe fundisho kwa mahusiano yajayo.
 
Mimi nikikwazwa hua naachia ngazi kimya kimya halafu yeye ndio aanze kuhangaika na maswali ya kinafiki “ eti mbona sikuelewi etc”

Napotezea mazima. Hii njia nimeibuni baada ya kupitia mashida kama yako. Cha msingi ni kuwa kuhonga ni kwa kiwango kidogo sana kwa ajili ya kusogeza maisha tu, ili hata mambo yakivunjika maumivu yasiwe makubwa
 
Wewe ni sponsor tu, anaemkuna nakumliwaza bila pesa yupo na kwa story hii sio wewe, ushauri piga chini na utafute mwingine for the time being kuwa busy na mambo yasiyo mhusu kama job, hobby, biashara na task tofauti tofauti. Ukizidiwa bora ununue na utumie kinga kuliko kukaa na hilo bomu linalosubiri kulipuka.
 
Mpotezee tu huna haja ya kumfanyia jambo baya.
Ulitoa kwa mapenzi so chukulia ulivyovitoa kama ulitoa sadaka

Kuna watu walimweka kikao jamaa yao aliyetaka kurudishiwa vitu vyake baada ya kuachwa sivyo atamfanyia kitu kibaya.

Akaulizwa kama na yeye atarudisha, akasema hana kitu chochote, akaambiwa ahesabu idadi alizoto.mba, halafu yule dada atafute mtu wa kumto.mba jamaa idadi ile Ile na vitu virudishwe.
 
Kuna watu walimweka kikao jamaa yao aliyetaka kurudishiwa vitu vyake baada ya kuachwa sivyo atamfanyia kitu kibaya.

Akaulizwa kama na yeye atarudisha, akasema hana kitu chochote, akaambiwa ahesabu idadi alizoto.mba, halafu yule dada atafute mtu wa kumto.mba jamaa idadi ile Ile na vitu virudishwe.
Ngumu kumesa hii
 
Kama ulifanya kwa mapenzi kutoka moyoni tulia jipe muda zaidi wa kupumzika na kutafakari naamini haya maamuzi unayotaka kuchukua hautachukua, kubali hasara tu kama mfanyabiashara anapopata hasara kwenye uwekezaji mpya na iwe fundisho kwa mahusiano yajayo.
Nakubaliana na wewe kabsa sema niko kwenye kipindi kigumu sana cha kujiuliza kosa liko wapi au hawa viumbe ndio walivo hivi au nimekosea chaguo.
 
Kuna watu walimweka kikao jamaa yao aliyetaka kurudishiwa vitu vyake baada ya kuachwa sivyo atamfanyia kitu kibaya.

Akaulizwa kama na yeye atarudisha, akasema hana kitu chochote, akaambiwa ahesabu idadi alizoto.mba, halafu yule dada atafute mtu wa kumto.mba jamaa idadi ile Ile na vitu virudishwe.
Duuh mbona ukatili sasa hapo
 
Nakubaliana na wewe kabsa sema niko kwenye kipindi kigumu sana cha kujiuliza kosa liko wapi au hawa viumbe ndio walivo hivi au nimekosea chaguo.
Ni kawaida mkuu. Ila huyo tu kakuwahi labda na wewe ungemuwahi angekuja kulia kama wewe.
Potezea
 
Mpotezee tu huna haja ya kumfanyia jambo baya.
Ulitoa kwa mapenzi so chukulia ulivyovitoa kama ulitoa sadaka
Sina chochote nachotaka kuchukua kwake japo moyoni ningepata majibu ya kwanini kayafanya yote haya kupotezeana mda kiasi hiki ukizingatia anamtoto na yeye, hawa watu wana moyo ya ajabu sana nimeconclude hivo.
 
Wewe ni sponsor tu, anaemkuna nakumliwaza bila pesa yupo na kwa story hii sio wewe, ushauri piga chini na utafute mwingine for the time being kuwa busy na mambo yasiyo mhusu kama job, hobby, biashara na task tofauti tofauti. Ukizidiwa bora ununue na utumie kinga kuliko kukaa na hilo bomu linalosubiri kulipuka.
Brother i have tried lakini the fact nikifikiria nimetumika all this time linanipa hasira kali sana.
 
Nasikitika kukwambia hata tuki kushauri utaendelea kua mnyonge wa mapenzi tu.Hauta sikia wala kukoma uta tamani kufanya kitu/jambo ila hauta weza uta baki kutamani tu

Usha ona ayo yote lakini bado humo tuuu
 
Back
Top Bottom