Singasinga
JF-Expert Member
- Aug 27, 2011
- 2,711
- 3,279
Sio kwamba hauna pesa?Kinacho fanya mpaka muda huu niwe sijawahi kuumizwa kimapenzi Ni kwa sababu huwa situmii pesa zaidi ya elfu kumi kuhonga.
Bro 10M ndani ya miezi 6 kwa Hawa Hawa mademu wa Kibongo!!?
Mtakuja kufa kizembe.
Msamehe dogo kakiri kosa.sio sifa 😡 😡 😡
Vumilia tuu umeingia ktk mahusiano na single mother unategemea nini brooHabari wanaJF, nitajitaidi kufupisha japo mambo ni mengi sana.
Mwaka jana mwezi wa saba nilifanikiwa kupata mtoto mmoja wa kule milimani akiwa sehemu yake ya kazi akiwa na jiko sehemu flani beach kwa upande wa juu,kiukweli yule binti nirembo sana na yuko very smart and manipulator mzuri sana, mapenzi yalianza kwa mbwebwe mpaka nyumba kwetu na kwao plus mtoto wake na mzazi wake kunijua mambo yalianza kubadilika kidogo kidogo mara ataki Twende wote sehemu mara mawasiliano anachoka sana mpaka awe free by that time nimeshazama mazima, alinichezea mind game moja hatari kuniaminisha she is very innocent na hofu ya Mungu basi nikalibeba ilo lakini chini ya kapeti nasikia story za mtaani kuna jamaa mmoja wa beach flani naye anapiga na wanaonekana nikiuliza nakatiliwa so nikasema sio kesi maisha yaendelee.
This year January akiwa kwao uko milimani siku ya new year nikapewa block moja ya watsap na call nikarudiwa na sababu ya kuwa kuna msiba kwao hakuwa sawa lakini cha ajabu hakujua natumia simu nyingine kuview status zake akiwa anajiachia mahotelini and so ikaenda nikablockiwa tena this time nikaambiwa simu imekufa tukawa tunawasiliana kwa simu yake nyingine up to date, kuna ahadi nilimpa kwa kweli imekuwa kama fimbo na imeonyesha yuko interest ya iyo ahadi kuliko ata mimi muhusika nilichofanya nikawa natoa kidogo kidogo, inafika mda iyo simu nyingine nayo inazimwa pia kwaiyo imekuwa vurugu kabsa ndani ya moyo.Mda wote huu mimi ndio nilikuwa na sponsor kila kitu mtaji, pocket money, hela ya kula nyumbani, kodi ata ada ya mtoto na vitu vinge vidogo vidogo.
Maswali ninayo mengi sana kichwani kosa langu liko wapi na mbona hakuwa muwazi toka mwanzo nipite nisepe zangu i dedicated my self kwenye hayo mahusiano kujua nimepata mke bora kabsa nimejikuta nimeingia kwenye madeni yasio na misingi yote kujaribu kumridhisha.Sio kwamba nimekosa mwanamke wakunipenda au sina muonekano ila nimeamua kutulia naye tuanze maisha kwa kweli haya mambo yasikieni kwa mwenzako nimepoteza kilo za kutosha nimejikuta nimetumia zaidi ya 10M ndani ya miezi 6.Nimegombana na washkaji na ndugu sababu yake nikiamini hawamjui vzuri lakn makucha yake nimekuja kuona mwisho.
Wanajf naombeni mnipe muongozo kwenu nimeingiwa na chuki sana sijawai mfanyia mtu baya lakini this time am ready ata kuroga,kama mtu akuwa na huruma na utu juu yako unakuwa kuwaje na huruma kwake,nimejikuta natafakari mengi sana labda ndio tabia yake kucheza na hisia za watu nakuamia kwa mwingine kwa sababu kwa sasa nimemwambia sina kitu ameamua kukaa kimya na simu inazimwa mda mwingine, kuna mtu kaingia mkenge tena nadhani sasa huyu kawa janga la taifa inaweza mkuta mdogo wako au ndugu yako tusitumie jazba wala matusi,i admit she caught me off guard kabisa with the ability she as ni tatizo.
Kama wewe ni kijana upo ktk mahusiano na single Mother kabla hujamuoa jiulize maswali haya........ .Vumilia tuu umeingia ktk mahusiano na single mother unategemea nini broo
Msamehe dogo kakiri kosa.
Wote si wale wale wezi 😂Nalia nacheka
Usimlaumu dada watu, wewe ndio una shida kichwani...Hapana ada ya mtoto wake hajanikosea kitu mtoto ilikuwa part ya jukumu langu ni package ile
Kama uko kwenye hili jukwaa kwa muda zaidi ya miezi 3, watu waliandika sana kuhusu matatizo kama hayo au nyie ndio wale wajuaji sana, wanajua kupenda sana na wenye pesa za kuhonga sana, wenye Roho Nzuri sana? Watu walisema ukiwa na efl 10 honga mia moja tu, kama ni kula nendeni wote mkale, usilipe ada, usinunue vitu Vya ndani, NK. pitia nyuzi zilizoita utapata majibuHabari wanaJF, nitajitaidi kufupisha japo mambo ni mengi sana.
Mwaka jana mwezi wa saba nilifanikiwa kupata mtoto mmoja wa kule milimani akiwa sehemu yake ya kazi akiwa na jiko sehemu flani beach kwa upande wa juu,kiukweli yule binti nirembo sana na yuko very smart and manipulator mzuri sana, mapenzi yalianza kwa mbwebwe mpaka nyumba kwetu na kwao plus mtoto wake na mzazi wake kunijua mambo yalianza kubadilika kidogo kidogo mara ataki Twende wote sehemu mara mawasiliano anachoka sana mpaka awe free by that time nimeshazama mazima, alinichezea mind game moja hatari kuniaminisha she is very innocent na hofu ya Mungu basi nikalibeba ilo lakini chini ya kapeti nasikia story za mtaani kuna jamaa mmoja wa beach flani naye anapiga na wanaonekana nikiuliza nakatiliwa so nikasema sio kesi maisha yaendelee.
This year January akiwa kwao uko milimani siku ya new year nikapewa block moja ya watsap na call nikarudiwa na sababu ya kuwa kuna msiba kwao hakuwa sawa lakini cha ajabu hakujua natumia simu nyingine kuview status zake akiwa anajiachia mahotelini and so ikaenda nikablockiwa tena this time nikaambiwa simu imekufa tukawa tunawasiliana kwa simu yake nyingine up to date, kuna ahadi nilimpa kwa kweli imekuwa kama fimbo na imeonyesha yuko interest ya iyo ahadi kuliko ata mimi muhusika nilichofanya nikawa natoa kidogo kidogo, inafika mda iyo simu nyingine nayo inazimwa pia kwaiyo imekuwa vurugu kabsa ndani ya moyo.Mda wote huu mimi ndio nilikuwa na sponsor kila kitu mtaji, pocket money, hela ya kula nyumbani, kodi ata ada ya mtoto na vitu vinge vidogo vidogo.
Maswali ninayo mengi sana kichwani kosa langu liko wapi na mbona hakuwa muwazi toka mwanzo nipite nisepe zangu i dedicated my self kwenye hayo mahusiano kujua nimepata mke bora kabsa nimejikuta nimeingia kwenye madeni yasio na misingi yote kujaribu kumridhisha.Sio kwamba nimekosa mwanamke wakunipenda au sina muonekano ila nimeamua kutulia naye tuanze maisha kwa kweli haya mambo yasikieni kwa mwenzako nimepoteza kilo za kutosha nimejikuta nimetumia zaidi ya 10M ndani ya miezi 6.Nimegombana na washkaji na ndugu sababu yake nikiamini hawamjui vzuri lakn makucha yake nimekuja kuona mwisho.
Wanajf naombeni mnipe muongozo kwenu nimeingiwa na chuki sana sijawai mfanyia mtu baya lakini this time am ready ata kuroga,kama mtu akuwa na huruma na utu juu yako unakuwa kuwaje na huruma kwake,nimejikuta natafakari mengi sana labda ndio tabia yake kucheza na hisia za watu nakuamia kwa mwingine kwa sababu kwa sasa nimemwambia sina kitu ameamua kukaa kimya na simu inazimwa mda mwingine, kuna mtu kaingia mkenge tena nadhani sasa huyu kawa janga la taifa inaweza mkuta mdogo wako au ndugu yako tusitumie jazba wala matusi,i admit she caught me off guard kabisa with the ability she as ni tatizo.
Noo,kumbe nanyi mnaumizwaWote si wale wale wezi 😂
Matusi sio hoja shekh!! Utakuta ulisomeshwa na baba wa kambo alafu leo unaoji vitu vya ovyo hivi tujielekeze kwenye hoja kuliko jazba na matusi.Mtoto hujamzaa ni jukumu lako pumbavu Bora ulie tu
Sanaa kuliko nyie Wanawake we huoni humu wanaume ndio tun ongoza kulia liaNoo,kumbe nanyi mnaumizwa
I take the L as a man.Nadhani hata baadhi ya wanawake wakiwa wanapewa hela ovyo kama ulivyokuwa una hudumia wewe basi lazima wamuone mwanaume ni mshamba mshamba..unalipa hadi ada ya mtoto wa mwanaume mwenzio na bado unakula block za kutosha,like serious?..Huyu demu alikuona mjinga sana mkuu.
Tuhudumie kwa machale..
True brotherKubaliana na matokeo mkuu...
Huyo siyo wako tena hunabudi kusonga mbele.
Kuna siku utapata wa kukupenda, huyo hakukupenda, alikutumia kama nyenzo tu ya kupata mahitaji yake.
Usimlaumu dada watu, wewe ndio una shida kichwani...
Alafu kwanini tunarudia makosa yale yale .single mazas Kila SikuUsimlaumu dada watu, wewe ndio una shida kichwani...
Shekh ndogo vp aisee sijui libwata yani ata sielewi yaniUsikute jamaa alikua anapewa ndogo
Mimi tena kivipi??Usimlaumu dada watu, wewe ndio una shida kichwani...
Pole bhanaa huu Uzi ndio uwe faraja yako.Baada ya muda utakuj hapa utabaki kuchekaShekh ndogo vp aisee sijui libwata yani ata sielewi yani
Basi mpotezee tu haitakupunguzia kitu.unamjua huyo?? mara nyingi ananitaja bila kuwa na sababu humu, sijui ananidai nini?