Natafta kazi ya uhasibu, afisa mikopo au usimamizi wa miradi

Natafta kazi ya uhasibu, afisa mikopo au usimamizi wa miradi

mamabaraka

Member
Joined
Oct 18, 2011
Posts
92
Reaction score
14
nilimaliza advance diploma in accountancy mwaka 2008, ninao uzoefu wa miaka miwili kwa kazi za uhasibu, afisa mikopo na usimamizi wa miradi, natafta kazi dar es salaam, ninao uwezo wa kutumia komputa vizuri. Pia naweza kuongea kiswahili na kingereza kwa ufasaha. Kwa yeyote anayetaka kuwasiliana nami kwa kazi ili kupata cv zangu na vyeti napatikana kwa email mamabaraka@yahoo.com. Asante
 
Ungekua unataka kazi huku kwetu kigoma ungepata ila sababu we unataka dar,endelea kusubiri tu.
 
haina shida kazi ni kazi ndugu yangu, nitashukuru. Natafta Dar sababu nina familia huku.
 
Back
Top Bottom