Natafta mchumba

Hambae hatakupenda mpaka kifo kitakapowatenganisha,hau siho mukuu.
 
hangalia hucjepata gumegume
litakusumbua inuka zeze
hangariaga pa kutafutaga
hukishindwa nitakutumia beki 3 wetu
hakuna matata
sawa mgoc
inuka zeze
 
mm nimemalza form 6 mwaka huu ni mweupe then mrefu
 
mm ni mvulana mwenye umri wa miaka 21natafuta mchumba wa kike umri ni miaka 17-20 elimu kuanzia form 4 hawe mweupe kdogo na hasiwe mfupi wala hasiwe mnene asanteni

mke mwema mwombe mungu bwana .mbona utakula chips kwa uma,juice kwa mrija!!.achana na wachumba wa kuokoteza dogo..talk to god,ana makusudi nawe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…