Natafta mke wa kuoa.

Natafta mke wa kuoa.

SAVE

Member
Joined
Feb 15, 2013
Posts
12
Reaction score
3
Natafta mke wa kuoa.

SIFA
.Mweupe
.Urefu kuanzia ft 5-6
.Asiwe mnene sana
.Mkristo
.Elimu kuanzia kidato cha 6
.Awe wa Mbeya au Iringa.

MIMI ELIMU YANGU NI SHAHADA YA KWANZA YA UWALIMU.
 
kila la kheri subiri kidogo smile na kingasti wanakuja
 
Natafta mke wa kuoa.

SIFA
.Mweupe
.Urefu kuanzia ft 5-6
.Asiwe mnene sana
.Mkristo
.Elimu kuanzia kidato cha 6
.Awe wa Mbeya au Iringa.

MIMI ELIMU YANGU NI SHAHADA YA KWANZA YA UWALIMU.

Mkuu mhhh hapa utapata .......!q!q!!!!!!!!!!!!! JIPANGE uje kivingine bana. hapa wapo style taratibu watakuona utwaona then ............ TCHAO
 
Back
Top Bottom