abousumaiya
Member
- May 11, 2017
- 28
- 19
Uko wapi Mdada? wkend imeanza!ramadhani imekaribia naona unatafuta mpika daku
leo nipo tu nilitaka kwenda target kucheki live band sijui ratiba ipoje leo nimeamua tu kulala hapaUko wapi Mdada? wkend imeanza!
ramadhani imekaribia naona unatafuta mpika daku
Najua huwezi lala utatoka tuleo nipo tu nilitaka kwenda target kucheki live band sijui ratiba ipoje leo nimeamua tu kulala hapa
mi sitoki tena leo nipo na night dress hapaNajua huwezi lala utatoka tu
Mwambie sasa mkutane wapiNajua huwezi lala utatoka tu
Heee! utanikuta pale kwenye zile cocktail kama utatokami sitoki tena leo nipo na night dress hapa
pale kwa witi?Heee! utanikuta pale kwenye zile cocktail kama utatoka
Hahah unataka kuvamia nn?Mwambie sasa mkutane wapi
Najua huwezi lala utatoka tu
Hahahah hapana! kwa witi hapana amsha amsha! hapa barabarani mnapaita ze nini sijui! umenikumbusha mshkaj wako witi hahah!pale kwa witi?
upo china? witi chizi hivi yupo?Hahahah hapana! kwa witi hapana amsha amsha! hapa barabarani mnapaita ze nini sijui! umenikumbusha mshkaj wako witi hahah!