Natafta mrembo twende naye saanane rock city

Natafta mrembo twende naye saanane rock city

Kusema mrembo pekee haitoshi mkuu,ungewawekea kabisa sifa uzitakazo,
Urembo wa mwanamke unategemea na mtazamo wa kila mtu na tunatofautiana.
 
Acha kutujazia server za jf kwa vitu visivyo na kichwa wala miguu,kuja kutafuta msichana humu wakati hujawahi hata muona wakati mtaani unakokaa wamejaa tele
Hawa ndio huwa wanaokotwa mabwepande bila kujua aliyewapeleka nani
 
Nasubiri mrejesho wa yatakayojiri
 
Back
Top Bottom