Nadhani ni kwa sababu za kibiashara maana kuna watu wamezinunua miaka ya 80 n 90 mapaka sasa miaka ya 2019 wanazo na zinapiga mzigo. Wakizitengezeza tena ina maana ukinunua una uhakika wa kukaa mpaka miaka 20 bila kununua nyingine.Sijui kwa nn japan hawatengenezi hii pikipiki tena
Ha ha haaa! Ni kweli mkuu hizi pikipiki roho ya pakaNadhani ni kwa sababu za kibiashara maana kuna watu wamezinunua miaka ya 80 n 90 mapaka sasa miaka ya 2019 wanazo na zinapiga mzigo. Wakizitengezeza tena ina maana ukinunua una uhakika wa kukaa mpaka miaka 20 bila kununua nyingine.
Mkuu yenye special gear matolea yake wanazo watu wachache, unataka siku moja moja uwe unaifungia jembe la kulimia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Honda 110 ilikuwa inafungwa jembe la plate moja na inalima.Hivi hii kitu ni kweli au porojo tuu??Maana najaribu kupata Picha ni kwa jinsi gani inafungiwa jembe na kulima!!???[emoji848][emoji848][emoji848]
Walipata hasara,waliunda ngumu Sana.Sijui kwa nn japan hawatengenezi hii pikipiki tena
Bado hujaipata?.Malawi zipo nyingi sana.kama unamawasiliano na watu wa kyela watakutafutia.Pikipiki 110 inahitajika
Sijaipata mkuuBado hujaipata?.Malawi zipo nyingi sana.kama unamawasiliano na watu wa kyela watakutafutia.
Dau lako shilingi ngapi kwa hiyo pikipiki.Pikipiki 110 inahitajika
Mi nahitaji, ww sema bei gani na ipo halo ganiDau lako shilingi ngapi kwa hiyo pikipiki.
Inapatikana ingawa ni chache.
Achana na Ag ww .iheshimike ile kituHonda 110 ilikuwa inafungwa jembe la plate moja na inalima.
Ukishangaa hiyo, Kuna pikipiki ilikuwa inaitwa Yamaha AG 100 ulikuwa ukikosea kutega point pale kwenye engine ukiiwasha inarudi nyuma (reverse) badala ya kwenda mbele.