Natafta umeme wa gari popote walipo

Natafta umeme wa gari popote walipo

kindoki

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2018
Posts
213
Reaction score
218
Wadau , gari langu Toyota crown limezimika ghafla tu baada ya kubadilisha muziki wa gari ,nikiliwasha aliwaki nimeambiwa ni mifumo ya umeme hususani CONTROL BOX na MOBILE ya gari ,

ivyo natafuta fundi anisaidie kuliwasha Gari langu, mimi naishi kigoma, namba yangu 0686-769-720, nipo tayari kwa gharama
 
Wadau , gari langu Toyota crown limezimika ghafla tu baada ya kubadilisha muziki wa gari ,nikiliwasha aliwaki nimeambiwa ni mifumo ya umeme hususani CONTROL BOX na MOBILE ya gari , ivyo natafuta fundi anisaidie kuliwasha Gari langu, mimi naishi kigoma, namba yangu 0686-769-720, nipo tayari kwa gharama
Ilo apo gari lenyewe
IMG-20190818-WA0005.jpeg
IMG-20190818-WA0004.jpeg
 
Kwanza naomba nikupongeze kwa kumiliki mkoko huko Kigoma.
Ebu wasiliana na hii namba +255 689 639 866.
Huyu ndie huwa ananitatulia changamoto ndogondogo kwenye huu mkebe...
tapatalk_1562647940254.jpeg
 
Ningeweza chukua fursa ya kukusaidia juu ya tatizo la gar yako, lakin nimeshindwa kutokana na mahala unapopatikana ama site ilipo, hivyo ntakushauri kwa maswala ya kiufundi.

Kwanza nikujulishe tu kiufundi hakuna uhusiano kati ya music system circuit na circuits zinazozuia gari kutowaka. That means huyo fundi aliyebadili music system kuna circuits amezi hitarafu bila ya yeye kujua huenda kwenye fuse box.

Maswali;
1. Hiyo Engine ina crank bila ya kupokea? Yaan starter inazungusha engine haiwaki.
2. Starter haizungushi kabisa?

Majib
1(a). Nenda ktk fuse box
Cheking brown fuses kama ipo badili kama hamna checking for ignition relay kwa kuunganisha direct( jumper wire) then washa engine. Kama hakuna further diagnosis needed ktk huo mfumo wa ignition kwa kuangalia components zake kama ignition cables, sparking plugs, no
(b). Checking for fuel system
>Pump and pump relay
> f/ filter
>sensors related
>purge valve if applied
2. Kama starter haizungush kabisa
Hapo cha kuangalia ni starting system ama powertrain control module (PCM) hii ni engine computer ambayo ndo ina control system zote za engine
Solution

If starter, checking relays and connect direct with jumper wire then start kama itawaka basi relay ndo tatizo kama haijawaka bas uchunguzi Wa kina unahitajika

Pia unaweza angalia computer relay na kuunga direct na jumper wire then washa engine.
Kama bado uchunguz wa kina unahitajika

So, kwa kufanya uchunguz wa kina kwa kila mfumo
Tumia OBD2 SCANER
If checking engine light is on
Sina meng ni hayo tu
 
Ningeweza chukua fursa ya kukusaidia juu ya tatizo la gar yako, lakin nimeshindwa kutokana na mahala unapopatikana ama site ilipo, hivyo ntakushauri kwa maswala ya kiufundi.

Kwanza nikujulishe tu kiufundi hakuna uhusiano kati ya music system circuit na circuits zinazozuia gari kutowaka. That means huyo fundi aliyebadili music system kuna circuits amezi hitarafu bila ya yeye kujua huenda kwenye fuse box.

Maswali;
1. Hiyo Engine ina crank bila ya kupokea? Yaan starter inazungusha engine haiwaki.
2. Starter haizungushi kabisa?

Majib
1(a). Nenda ktk fuse box
Cheking brown fuses kama ipo badili kama hamna checking for ignition relay kwa kuunganisha direct( jumper wire) then washa engine. Kama hakuna further diagnosis needed ktk huo mfumo wa ignition kwa kuangalia components zake kama ignition cables, sparking plugs, no
(b). Checking for fuel system
>Pump and pump relay
> f/ filter
>sensors related
>purge valve if applied
2. Kama starter haizungush kabisa
Hapo cha kuangalia ni starting system ama powertrain control module (PCM) hii ni engine computer ambayo ndo ina control system zote za engine
Solution

If starter, checking relays and connect direct with jumper wire then start kama itawaka basi relay ndo tatizo kama haijawaka bas uchunguzi Wa kina unahitajika

Pia unaweza angalia computer relay na kuunga direct na jumper wire then washa engine.
Kama bado uchunguz wa kina unahitajika

So, kwa kufanya uchunguz wa kina kwa kila mfumo
Tumia OBD2 SCANER
If checking engine light is on
Sina meng ni hayo tu

Hii DIY kama jamaa sio mtu wa magari ataishia ku-like to post yako,hahah.
 
Back
Top Bottom