Natafuta a real man wa kula naye bata.

heee! Lahaula! nikiwe mimi nina kila kiti hapo kwa maana ya vigezo ila moja tu nayo ni ukristo, sasa hapo nifanyeje? Na mimi masharti yote nakubali hasa la for fun and no strings attached. Je nafikiriwa?
 
Last edited by a moderator:
Hehehe guyz take a chill pill....najiweza financialy too, sihitaji pesa ya mtu, am just looking 4some one to have fun with, thats all
Ebu, mwanzo sikuelewa, yaani hutaki uchumba wala cha ndoa ila unataka mkale bata tu ila tu ule mtandao asitumie au?
 
He mbona lots of questions? Nataka pia smone ambaye nitakuwa comfortable kufanika nae vitambi vinaniput off,ishu ya dini ni muhimu kwangu...if your intrested and u do qualify just Pm
Sasa dini,kitambi vinaingiaje?
 
ah ah..! Mjuni Lwambo, kwakua amesema hataki kusikia izo habari basi itabidi na mie niache kutumia ili twende nae, najua huko siku za mbeleni anaweza badili mawazo na kuruhusu itumike
Mkuu, we hutumii ule mtandao kweli?, samahani lakini.
 
Last edited by a moderator:
Sorry ishu ya dini iko sensitive to me.
heee! Lahaula! nikiwe mimi nina kila kiti hapo kwa maana ya vigezo ila moja tu nayo ni ukristo, sasa hapo nifanyeje? Na mimi masharti yote nakubali hasa la for fun and no strings attached. Je nafikiriwa?
 
Last edited by a moderator:
Its an abomination so stop using it
ah ah..! Mjuni Lwambo, kwakua amesema hataki kusikia izo habari basi itabidi na mie niache kutumia ili twende nae, najua huko siku za mbeleni anaweza badili mawazo na kuruhusu itumike
 
Last edited by a moderator:
ah ah..! Mjuni Lwambo, kwakua amesema hataki kusikia izo habari basi itabidi na mie niache kutumia ili twende nae, najua huko siku za mbeleni anaweza badili mawazo na kuruhusu itumike
teh, teh, teh mkuu noahism tayari ushaharibu, ashajua we ni mwanachama kwamba baadae utakuja kuiomba, bora ungevunga kwanza.
 
We si unatafuta wa kula nae bata?sasa financially ya nini hapo?
 
Hehehe guyz take a chill
pill....najiweza financialy too, sihitaji pesa ya mtu, am just looking
4some one to have fun with, thats all
Go out there like Joly club and the like,there is where you belong
 
ah ah..! Mkuu Mjuni Lwambo, hawa unaenda nao taratibu kama hutaki hadi anaachia mwenyewe, ..! nikiwe kama mwanamke mwingine atanielewa, maana kaisha jua madhaifu yangu
teh, teh, teh mkuu noahism tayari ushaharibu, ashajua we ni mwanachama kwamba baadae utakuja kuiomba, bora ungevunga kwanza.
 
Last edited by a moderator:
Da kazi za mujini bila degree hupati hadi mapenzi nayo watu wanaanza na degree nishajua ndio maana ndoa hazidumu siku hizi...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…