Natafuta a real man wa kula naye bata.

Nashukuru wote mloniPM,walikuwepo walotaka uchumba ila haikuwa lengo, wapo walokidhi vigezo ila umri uliwatupa mkono, wapo walotaka kulelewa halikuwa lengo pia,all in all thanx kwenu nyote.lengo limetimia kwani nimempata mwenye vigezo na tumearrange kukutana kesho after ibada kwa mazungumzo zaidi.
 

Yani wewe hujui maana ya maisha..hau RC ndio wamekufundisha huo uchafu unaozungumza?? Life is not about having fun, life is about living the truth. One day you will understand my words.
 
yooote poa ila mimi ni muislam...
 
nikiwe mie najiweza kipesa, ninaelimu, sina kitambi ila mie ni mzee wa makamo, unasemaje hapo nikuje kwa PM?

Ushakua mzee utakufa kifuani tuachie vijana damu inachemka mwendo wa kutupia kamba 4 hadi 5,,,Suruali ule na nani Msuli uje kula na dada watu
 
Last edited by a moderator:
Uzungu bwana, no strings attached una maana gani sijui? Maelekezo hapo kidogo then NakuPM...
 
vigezo ninavyo hapo kwenye bata ndani yake kuna ti+go sikuelewi au matangazo kiaina?
 
ww huna kigezo chochote cha umtakaye zaidi pesa usipenda kukangiza kabla ya kusweti ndoa unaifanya biashara co
 
Wenzio wapo buguruni na meeda!utakufa siku si zako kwa tamaa zako
 
Hakuna cha kuHave fun wala nini masharti yote hayo,,,umeshaona jua linaanza kuzama na huolewi maanake una miaka kama miwili hivi ujenge familia so,ukifika 29 hesabu maumivu tu.
 
Hii si dasturi ya watanzania binti kutafuta mwanamme lkn wanasema ndo maendeeleo, mhhh mi yangu macho, chunga wanamme waovu dada usije athirika
 

pfu..! Eti 'nakutana naye after ibada...!' na kwenye ibada unafata nn kama si unafiki? Mungu na umalaya wako havichangamani. Chagua moja usiupake shombo ukatoliki! Bastard!
 

duh! ww unatsha.
 
No strings attached wakati umesha attach ma strings kibao!!!
 
Mi kama ni ku have "fun" tu, hapa ndo penyeeee!!! U will never regret any second passed with me around u!!! Kama huamini try me...come pm baybe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…