Natafuta agent wa Alibaba waliopo Tanzania

Natafuta agent wa Alibaba waliopo Tanzania

m-rusia 2

Member
Joined
Sep 21, 2022
Posts
95
Reaction score
408
Kama kichwa Cha habari kinavyojieleza,ninaitaji kuagiza mzigo China kwa kupitia Alibaba Sasa ninahofu ya kutumia njia ya mtandao kuagiza hivyo Kama Kuna agent wao waliopo hapa daresalaam naomba nisaidiwe kufahamu ofis zao zilipo.
 
Kama kichwa Cha habari kinavyojieleza,ninaitaji kuagiza mzigo China kwa kupitia Alibaba Sasa ninahofu ya kutumia njia ya mtandao kuagiza hivyo Kama Kuna agent wao waliopo hapa daresalaam naomba nisaidiwe kufahamu ofis zao zilipo.
Huwezi kupata agent wao maana alibaba ni soko yani ni soko la mtandao wanaouza vitu ni wauzaji wanaojitegemea tu yani sawa unavyoensa sokoni serikali ikawa imeweka jengo lakini bidhaa haiuzi serikali.
Kama una hofu unaweza kuwasiliana na silent ocean huwa wana wauzaji hukk china ambao wanaweza kuconnect nao wao wenyewe hata mpemba naona nao wanafanya hivyo siku hizi.
Ni hofu yako mkuu unaagiza na bidhaa inafika tu vzuri.
 
Huwezi kupata agent wao maana alibaba ni soko yani ni soko la mtandao wanaouza vitu ni wauzaji wanaojitegemea tu yani sawa unavyoensa sokoni serikali ikawa imeweka jengo lakini bidhaa haiuzi serikali.
Kama una hofu unaweza kuwasiliana na silent ocean huwa wana wauzaji hukk china ambao wanaweza kuconnect nao wao wenyewe hata mpemba naona nao wanafanya hivyo siku hizi.
Ni hofu yako mkuu unaagiza na bidhaa inafika tu vzuri.
Nashukru Sana mkuu,maana nilikua nahofu ya utapeli kununua bidhazaa kwa mtu ambaye humfaham
 
Kama kichwa Cha habari kinavyojieleza,ninaitaji kuagiza mzigo China kwa kupitia Alibaba Sasa ninahofu ya kutumia njia ya mtandao kuagiza hivyo Kama Kuna agent wao waliopo hapa daresalaam naomba nisaidiwe kufahamu ofis zao zilipo.

Acha uoga kiongozi
Hakuna wa kukutapeli Alibaba
Sema tuu kikubwa cha kuzingatia hakikisha hauagizi bidhaa usiyoijua(usione bidhaa nzuri kwa picha ukatamani kuileta bongo utalia)
Agiza bidhaa unazozijua na brand zinazofahamika pia
 
Wacheki silent ocean au tosh logistics
Naomba contact zao za WhatsApp kama utakuwa nayomaana silent ocean yapata mwezi sasa nmewatumia email hawajajibu na WhatsApp pia yapata masaa 48 yamepita naona kimya labda hao tosh logistics nijaribu
 
Back
Top Bottom