Munirah seiph
Senior Member
- Aug 14, 2017
- 108
- 107
Habari wapendwa mimi ni kijana wa kike nina umri wa miaka 28 elimu yangu ni kidato cha nne pia nina certificate ya entrepreneurship natafuta kazi yoyote kati ya hizi:-
Stationary
Secretary
Duka lolote
Reception
Costumer Care
Wakala wa miamala Mbalimbali
Lakini Pia Kwa Wale Wenye Uhitaji wa Kumfadhili Mtu au Kama Unatafuta Mtu wa Kumkabidhi Biashara yako Na Kuja Kuchukua Faida yako Nina Udhoefu wa Biashara Zifuatazo
👉🏻 Kusimamia Mauzo Mapato na Matumizi
👉🏻 Biashara ya Kuagiza bidhaa na Kuuza
👉🏻 Biashara yoyote Ya Chakula (Grocery, Kiosk n.k)
👉🏻 Biashara ya Kuuza Nguo, Pochi Vipodozi n.k
👉🏻 Kusimamia Miradi midogo midogo
Nina uzoefu wa Computer Full Stationary Service Nimewahi kufanya sehemu Mbalimbali kwa kujitolea hivyo nahitaji kupata ajira kwasasa niko vizuri sana.
Nipo Dar es salaam Chanika.
Naombeni ni PM kwa maelezo zaidi
Asanteni
Lakini Pia Kwa Wale Wenye Uhitaji wa Kumfadhili Mtu au Kama Unatafuta Mtu wa Kumkabidhi Biashara yako Na Kuja Kuchukua Faida yako Nina Udhoefu wa Biashara Zifuatazo
👉🏻 Kusimamia Mauzo Mapato na Matumizi
👉🏻 Biashara ya Kuagiza bidhaa na Kuuza
👉🏻 Biashara yoyote Ya Chakula (Grocery, Kiosk n.k)
👉🏻 Biashara ya Kuuza Nguo, Pochi Vipodozi n.k
👉🏻 Kusimamia Miradi midogo midogo
Nina uzoefu wa Computer Full Stationary Service Nimewahi kufanya sehemu Mbalimbali kwa kujitolea hivyo nahitaji kupata ajira kwasasa niko vizuri sana.
Nipo Dar es salaam Chanika.
Naombeni ni PM kwa maelezo zaidi
Asanteni