Natafuta ajira, elimu yangu ni kidato cha sita

Natafuta ajira, elimu yangu ni kidato cha sita

Annah simbeye

Member
Joined
Sep 6, 2021
Posts
13
Reaction score
10
Habari waja Jamii Forums mimi ni binti wa miaka 22 natafuta kazi yoyote elimu yangu ni form six pia nimesoma pharmaceutical science mwaka wa pili nilishndwa kumaliza kutokana na kukosa ada. Naomba umnisaidie kupata kazi yoyote itakayonisaidia kujikim kimaisha na baadae nirudi kumalizia elimu yangu.
 
Back
Top Bottom