Manfried
JF-Expert Member
- Oct 11, 2024
- 1,288
- 4,074
Naitwa Ezra
Umri 23
Elimu kidato cha sita.
Nimepita JKT
Natafuta Kazi zifuatazo
Ulinzi -kazi hii nipo na uzoefu nayo maana nimepita JKT pia nimewahi kufanya Kazi SGA Kama Mlinzi wa Silaha.
(security group of Africa) kazi hii niliacha Kwa makubaliano ya pande zote mbili baada ya kwenda kumuuguza Mama .
Pia nimewahi kuwa storekeeper katika godauni.
Kuhusu Mimi
Location nipo DSM
Sifa , Mchapa Kazi , mwaminifu
Hivyo yoyote mwenye Kazi either inahusiana na hizo nilizozitaja au nje ya hizo Mimi nipo tayari tufanye kazi.
Naomba unipigie Kwa namba hii
Kazi nilifanya hadi pale nilipopata changamoto ya kuuguza Mzazi wangu (Mama) hii ilipelekea kuacha Kazi Kwa kufata utaratibu maalumu.
Kuhusu Mimi , ni mchapa Kazi , mwaminifu na mtu wa Kutoa matokeo Kwa wakati.
Waweza kunipigia Kwa namba hii +255 718 038 005
Umri 23
Elimu kidato cha sita.
Nimepita JKT
Natafuta Kazi zifuatazo
Ulinzi -kazi hii nipo na uzoefu nayo maana nimepita JKT pia nimewahi kufanya Kazi SGA Kama Mlinzi wa Silaha.
(security group of Africa) kazi hii niliacha Kwa makubaliano ya pande zote mbili baada ya kwenda kumuuguza Mama .
Pia nimewahi kuwa storekeeper katika godauni.
Kuhusu Mimi
Location nipo DSM
Sifa , Mchapa Kazi , mwaminifu
Hivyo yoyote mwenye Kazi either inahusiana na hizo nilizozitaja au nje ya hizo Mimi nipo tayari tufanye kazi.
Naomba unipigie Kwa namba hii
Kazi nilifanya hadi pale nilipopata changamoto ya kuuguza Mzazi wangu (Mama) hii ilipelekea kuacha Kazi Kwa kufata utaratibu maalumu.
Kuhusu Mimi , ni mchapa Kazi , mwaminifu na mtu wa Kutoa matokeo Kwa wakati.
Waweza kunipigia Kwa namba hii +255 718 038 005