Codename96
Member
- Sep 17, 2020
- 90
- 85
Habari za muda huu.
Ndugu zangu mimi natafuta ajira ya ualimu maana maisha hapa Dar es salaam ni magumu sana.
Mimi nilikuja Dar kwa ajili ya chuo tu kwahiyo sina hata ndugu sasa chuo nimemaliza na sina shughuli yoyote.(sikusoma kwa mkopo).
Kijijini kilimo ni cha jembe na hata nauli ya kuendea tu sina. Naishi kwa madeni.
Natarajia kuhitimu degree ya ualimu mwaka huu.
Nina transcript ya matokeo ya semester 5.
Nikipata ajira ya angalau kuniwezesha kulipa kodi na madeni ya gharama za maisha ntashkuru sana.
Ingawa nimetaja Dar es salaam, niko tayari kwenda mkoani ikibidi.
1. Kiwango cha elimu: Natarajia kumaliza BAED mwaka huu hivyo sina cheti, nina transcript ya matokeo ya semester 5.
2. Masomo ya kufundishia: Historia na Kiingereza.
Asanteni. Kama kuna swali lingine ntafurahia kulijibu. Niko tayari kwenda mkoani ikinibidi.
Ndugu zangu mimi natafuta ajira ya ualimu maana maisha hapa Dar es salaam ni magumu sana.
Mimi nilikuja Dar kwa ajili ya chuo tu kwahiyo sina hata ndugu sasa chuo nimemaliza na sina shughuli yoyote.(sikusoma kwa mkopo).
Kijijini kilimo ni cha jembe na hata nauli ya kuendea tu sina. Naishi kwa madeni.
Natarajia kuhitimu degree ya ualimu mwaka huu.
Nina transcript ya matokeo ya semester 5.
Nikipata ajira ya angalau kuniwezesha kulipa kodi na madeni ya gharama za maisha ntashkuru sana.
Ingawa nimetaja Dar es salaam, niko tayari kwenda mkoani ikibidi.
1. Kiwango cha elimu: Natarajia kumaliza BAED mwaka huu hivyo sina cheti, nina transcript ya matokeo ya semester 5.
2. Masomo ya kufundishia: Historia na Kiingereza.
Asanteni. Kama kuna swali lingine ntafurahia kulijibu. Niko tayari kwenda mkoani ikinibidi.