Ndo hivyo wakuu Hali sio Hali nimeamua nipige yowee mwenye maskio na asikie, maana jiwe limepigwa gizani na Mimi ndo nilikuwa nimejificha humo na jiwe ndo limenipata😓
Mimi ni kijana wa makamo tu zaidi ya vibarua Sina kingine cha kufanya naombeni kazi jaman, Sina ujuzi wowote ule zaidi ya kutumiwa NGUVU tu au akili ikiwezekana, Mimi ni Wala Saba B au mwisho form2 secondary sikuendelea na shule, Asanteni sana 🙏 🙏
Mimi ni kijana wa makamo tu zaidi ya vibarua Sina kingine cha kufanya naombeni kazi jaman, Sina ujuzi wowote ule zaidi ya kutumiwa NGUVU tu au akili ikiwezekana, Mimi ni Wala Saba B au mwisho form2 secondary sikuendelea na shule, Asanteni sana 🙏 🙏