Juzi tu ulikuwa unachangia hoja vijana wapambane na hali zao au alikuwa mdukuzi Yule?Ndo hivyo wakuu Hali sio Hali nimeamua nipige yowee mwenye maskio na asikie, maana jiwe limepigwa gizani na Mimi ndo nilikuwa nimejificha humo na jiwe ndo limenipata😓
Mimi ni kijana wa makamo tu zaidi ya vibarua Sina kingine cha kufanya naombeni kazi jaman, Sina ujuzi wowote ule zaidi ya kutumiwa NGUVU tu au akili ikiwezekana, Mimi ni Wala Saba B au mwisho form2 secondary sikuendelea na shule, Asanteni sana 🙏 🙏
Ni comment Gani nilisema Nina gari mkuuUza hilo gari mkuu upate mtaji.
Hizi zote si za leo? Broadening the scope of the word "nyuma"Nimefuatilia posts zako za nyuma ni kweli unaamaanisha mwenye nia ya dhati amsaidie huyu kijana
View attachment 3015851
View attachment 3015852View attachment 3015853
Comments zake nyingi kaandika katika uzi wa mikeka(Kubet)..Hizi zote si za leo? Broadening the scope of the word "nyuma"
Hilo uliloweka kwenye avatar mkuu, hapo hamna hamna 20m chap unapata mkuu.Ni comment Gani nilisema Nina gari mkuu
Hilo uliloweka kwenye avatar mkuu, hapo hamna hamna 20m chap unapata mkuu.
Naelewa sema namzingua tuu mkuu😂😂, mkuu mwenyewe hali tete nakaza tuu kibishi kama wewe unayo connection muungie.Hana hilo gari, labda ni ndoto yake siku moja amiliki hilo gari. Mpe connection atimize ndoto yake, maana we ni mtu mzito.
Nimeutafuta nimekosa. Wakuu mumuajiri kijana... sasa na wewe hela za kubetj si ungejipelekaga hata gereji mana hapo ulipo mtu anakuajir kama nani sasa?Leta ushahidi wa huo Uzi mkuu nipo nadhani hakuna kitu kama hicho