Natafuta Almasi

Natafuta Almasi

kajansi

JF-Expert Member
Joined
Sep 19, 2012
Posts
485
Reaction score
222
Wadau salaam!

Nimepata fursa kwa mdau aliyepo nje ya nchi anataka kununua Almasi kwa hapa Mwanza na mimi sina connection yoyote!

Please kama kuna dealer au anayeweza kunilink musaada! PLEASE HII NI SERIOUS ISSUE. Asanteni
 
Kuwa makini utaingizwa mjini au kuingiza mtu mjini watu wengi wametapeliwa kwa style hizo
 
Hua mawe hayatafutwi kwa style hii hizi mbinu walizitumia sana akina Papaa Msofe na wenzake siku hizi hazitumiki tena
 
Kwanza utumiwe pesa uwe nayo mkononi then ndo uanze taratibu za kuuliza hiyo Almasi na unataka ya grade ipi ukiwa na Cash kuna wachimabaji Shinyanga, Mwanza wamejaa sana bt Cash iwepo usijekutumika kama daraja la kutapeli watu au wewe mwenyewe ni tapeli?
 
Wadau salaam!

Nimepata fursa kwa mdau aliyepo nje ya nchi anataka kununua Almasi kwa hapa Mwanza na mimi sina connection yoyote!

Please kama kuna dealer au anayeweza kunilink musaada! PLEASE HII NI SERIOUS ISSUE. Asanteni

consult mr. diamond platinumz!
 
Kuwa makini utaingizwa mjini au kuingiza mtu mjini watu wengi wametapeliwa kwa style hizo

Nashukuru ndugu Stunna! sijawahi fanya hii kitu wao wanataka mtu mwenye mzigo hapa Mwanza wacheck then walipie
 
Kwanza utumiwe pesa uwe nayo mkononi then ndo uanze taratibu za kuuliza hiyo Almasi na unataka ya grade ipi ukiwa na Cash kuna wachimabaji Shinyanga, Mwanza wamejaa sana bt Cash iwepo usijekutumika kama daraja la kutapeli watu au wewe mwenyewe ni tapeli?
ushauri mzuri kaka! Mimi sio tapeli natafuta fursa ndugu!
 
Wadau salaam!

Nimepata fursa kwa mdau aliyepo nje ya nchi anataka kununua Almasi kwa hapa Mwanza na mimi sina connection yoyote!

Please kama kuna dealer au anayeweza kunilink musaada! PLEASE HII NI SERIOUS ISSUE. Asanteni

ni pm namba yako kesho jioni ntakutafuta. Nitakuwa mwanza
 
Back
Top Bottom