Natafuta ambaye ni kama mimi

MR UNIVERSITY....HANDSOME.....!
MREMBO WA KIUME......ZE SCRUB ZE BLACK DYE... du
 
Mimi hapa nimeumizwa tayari na nilianzisha na thread kabisa teheteheteett
 
Kazi kwenu wenye uhitaji,faster mchakirikieni kijana
 
Sasa kama wewe ni handsome kwa nini utemwe? Utakuwa na kasoro. Waambie kina dada kasoro zako ili wajue namna ya kukabiliana na wewe.
 
Mimi hapa nimeumizwa tayari na nilianzisha na thread kabisa teheteheteett
mmh, dinnah kuwa makini usiumizwe tena. Kupata mtu aliyeumizwa haimaanishi kuwa hatomuumiza mwingine. Binadamu ni wepesi wa kusahau na ni wachache ambao hawawafanyii wengine yale wasiyopenda wao kufanyiwa.
 
Mkuu komaa, usionyeshe unataka sympathy, ni bora huyo amekuacha mapema, mi naona huyo mdada alikuwa honest sana, tafsri yake ni kuwa aliona ham-endani akapata alichoona kinamfaa zaidi na akafanya maamuzi magumu, hata wewe ungefanya hivyo, ni hali ya kawaida sana mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…