Natafuta angent mwenye uelewa clearing and forwarding kwenda burudi

Natafuta angent mwenye uelewa clearing and forwarding kwenda burudi

gost

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2012
Posts
275
Reaction score
135
nina fire track sita na contena mbili za 20ft naitaji bei ya transit mpaka bunjumbura total cost ya kila kitu nikimaanisha bandari ya dar-es-salaam , madereva wakupeleka hayo magari sita na gari lakubeba hayo makontena ya 20ft ambayo kontena moja ni 40tan ,na cost za kupitisha boda burudi
 
hyo tenda unaitoa ndugu ama ni maelezo tu unataka?
 
Back
Top Bottom