Natafuta bata mzinga wa kufuga, nikipata jike na dume itakuwa vizuri

Natafuta bata mzinga wa kufuga, nikipata jike na dume itakuwa vizuri

Kig

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2012
Posts
1,076
Reaction score
458
Tafadhali nahitaji bata mzinga wa kufuga. Kama kuna mtu anauza aniPM tafadhali
 
Tafadhali nahitaji bata mzinga wa kufuga. Kama kuna mtu anauza aniPM tafadhali


Mkuu,uko Mkoa gani?? Kama ni A town kuna jamaa anazo na anaziuza,kama uko shwar sema nikuangushie mawasiliano yake..........
 
  • Thanks
Reactions: Kig
Tunaotafuta ni wengi hivyo asiku PM wewe tu ila aweke adharani ili nunue
 
Nipo stone town Iringa mjini.Anauza shilling ngap wadogo, na wakubwa?
 
Mkuu,uko Mkoa gani?? Kama ni A town kuna jamaa anazo na anaziuza,kama uko shwar sema nikuangushie mawasiliano yake..........

Nipo Iringa mjini. Anauza shilling ngapi wadogo na wakubwa?
 
Mkuu mambo vp ?mi john nipo kmr dar ninao aina zote bata wa kawaida.wakubwa.bata mzinga miezi mitano hawa mwezi wanaanza kutaga bukini wakubwa ns pekin wamepigwa chanjo zote.kwa serious business piga 0782-44-84-63 usinunue kwa bwana kitomari wa arusha .ni tapeli mkubwa mm nina kesu nae alinipiga laki 250,000 .mwaka jana december na nikatangazia wadau kupitia jf.
 
mkuu, ushauri unaompa umezamilia?


kaka hawa wanaotaka kununua vitu wakiwa mbali na muuzaji watakua kwa njia moja au nyingine wanachochea biashara masuala ya kitomari kujirudia tena hapa.
 
  • Thanks
Reactions: Kig
kaka hawa wanaotaka kununua vitu wakiwa mbali na muuzaji watakua kwa njia moja au nyingine wanachochea biashara masuala ya kitomari kujirudia tena hapa.

mimi nahisi jamaa afunge safari afate mzigo, ila hii ishu ya kuaminian sometimes inaleta matatizo.
 
  • Thanks
Reactions: Kig
mimi nahisi jamaa afunge safari afate mzigo, ila hii ishu ya kuaminian sometimes inaleta matatizo.
mkuu mimi nilinusurika kwa kitomari tangu hapo niko makini balaa.Nilienda arusha kikazi nilipofika nikawa nawasiliana na huyu kitomari tukakubaliana atanipa mzigo nikafunga safari hadi tengeru kupiga simu yake haikupatikana baadaye nikaja huku JF ndo nikakuta hizi mada zake.Kimsingi tusiaminiane kabisa kwenye hili swala>biashara nzuri ni mkono kwa mkono.
 
  • Thanks
Reactions: Kig
Nashukuru sana wadau wote kwa ushauri wenu maana ningeingia kwenye anga ya huyo kitomari, ningejuta kama wadau wengine wanavyojuta. Hata hivyo mimi si mwepesi wa kutoa hela bila kukiona live kile ninachonunua isipokuwa kwenye amazon.
 
Back
Top Bottom